Hivi hawa watumishi si wanalipa kodi? Kodi zao zinakwenda wapi hadi wachangishwe fedha kwa nguvu? Kwa nini serikali inakurupuka kujenga maabara huku ikijua kuwa haina fedha?
Kataeni msitoe!
Hawa jamaa ni wapumbavu kabisa,tunapoandamana kupinga wizi na utapeli unaoendelea Dodoma wao wako busy kutupiga mateke.Hiyo fedha anayokula Sitta na genge lake kama ingetumika vizuri ingeweza kuwafanya wasiishi gizani.Ngoja wavune haki yao!
Askari wa Jeshi la Polisi kikosi cha FFU Mkoani Mara wanaishi gizani kwa zaidi ya wiki mbili sasa baada kukatiwa umeme na Shirika la Umeme Tanesco baada ya kushindwa kulipa deni linalotokana na matumizi ya nishati hiyo.
Baadhi ya askari wakizungumza kwa sharti la kutotajwa majina wamesema...
Katika mahojiano na Gazeti la Dira ya Mtanzania,Mbunge wa Bunda na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na uratibu) Stephen Masatu Wasira amesema kuwa ccm inao viongozi wasafi na yenyewe ni safi ndio maana imelilea Taifa katika misingi ya upendano,mshikamano,amani,utulivu na kwamba ccm...
Niko halmashauri ya Wilaya ya Rorya idara ya Sekondari.Natafuta mwalimu wa kubadilishana naye kutoka mikoa ya Morogoro na Tabora.Mwalimu yeyote aliyeko mikoa hiyo anayehitaji kuja Rorya ani PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.