Said Arfi na John Shibuda wapo wapi?

Seif al Islam

JF-Expert Member
Nov 14, 2011
2,156
638
Baada ya kutoswa na ccm huko katavi Arfi alitangaza kukihama chama hicho japo hakutangaza anakokwenda.hadi sasa haifahamiki kama ataenda ACT TANZANIA au ataachana na siasa.

John Shibuda alikimbilia TADEA na baada ha hapo yuo kmya.

Wenye taarifa kuhusu wanasiasa hawa watufahamishe.
 
alafu nilizani hao jamaa wataenda ACT lakini hawajaenda ....wamekufa kisiasa
 
Kuwataja tu tayari weshaupata umaarufu. Let sleeping dogs lie. Hao ndi past stories, wengine wamejiendea kula kiinua mgongo chao
 
Baada ya kutoswa na ccm huko katavi Arfi alitangaza kukihama chama hicho japo hakutangaza anakokwenda.hadi sasa haifahamiki kama ataenda ACT TANZANIA au ataachana na siasa.

John Shibuda alikimbilia TADEA na baada ha hapo yuo kmya.

Wenye taarifa kuhusu wanasiasa hawa watufahamishe.

Mkuu ukiona manyoya basi ujue keshaliwa huyo
 
Back
Top Bottom