Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
Baada ya kutoswa na ccm huko katavi Arfi alitangaza kukihama chama hicho japo hakutangaza anakokwenda.hadi sasa haifahamiki kama ataenda ACT TANZANIA au ataachana na siasa.
John Shibuda alikimbilia TADEA na baada ha hapo yuo kmya.
Wenye taarifa kuhusu wanasiasa hawa watufahamishe.
John Shibuda alikimbilia TADEA na baada ha hapo yuo kmya.
Wenye taarifa kuhusu wanasiasa hawa watufahamishe.