Hi cycle iko simple sana..More money in the market..more supply kwenda chini..Wale waliokuwa wakipiga mabilioni hawakuona shida kutumia which means pia walitumia zaidi ya actual value, kwa mfano mtu alikuwa anaweza kwenda kuosha gari kwa 30,000 au mtu hakuona shida kukodi bajaj kutoka mwenge...
Ahsante Mheshimiwa kuja kukagua kero za wananchi kwetu Gongo La Mboto. Nadhani ulikuwa huzifahamu.Haya ahsante kwa ziara yako nadhani inatosha kabisa kuandika ilani ya UKAWA. Lingine ahsante kwa kuendelea kuitumia elimu yako, naona umeamua kuitumia your BACHELOR OF ARTS into practice. Hongera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.