Kila mission anayofanya lazima afeli! Hata maninja wadogo wanamkosoa hadharani kuwa hajua kanuni za uninja! Anapenda kwenda mission Na mikamera kibao. Na mwisho anaishia tu kupayuka bila kujali kuwa kazi yake ni kupigana kimyakimya. Dah ana misifa kibao ila acha tu niishie hapa.
Dah! Unataka aanze na project Euler! Kusolve hizo problems anatakiwa awe vizuri kwenye almost all branches of maths as well as good programming skills! Ni nzuri kuanzia hasa katika kuimprove problem solving skills!
Bsc( UDSM), Masters (UDSM), PhD (UDSM). Uwe na uhakika exposure ya mtu huyo kwenye international forums ni ndogo mno. kama mtu haamini aangalie yule mkulu anavyojaribu kuifanya TZ kama kisiwa, akijitahidi basi anaishia east africa. hayo yote yanasababishwa na ukosefu wa exposure hasa...
siku hizi kuna matumizi mabaya ya neno mheshimiwa. kuna watu hawastahili kabisa kuitwa waheshimiwa ila mnawalazimisha wawe waheshimiwa, matokeo yake ni bongo zenye sifuri kufikili kwa niaba ya bongo zenye kijielewa. Na bado kama bado huyo jamaa mpaka leo anajisifu eti ana akali na yeye ni mungu...
Jamaa alikosea sana alipocheza filamu ya kitoto ya kumchafua gwajima kisha kuvamia clouds, toka hapo kila linalotokea ni vigumu kuamini kuwa hausiki maana watu walishapoteza imani naye.
By the way ukiwa na fa fa fa hata plan zako zitakuwa za ki fa fa fa!
FREE ROMA! WE NEED HIM ALIVE.
Hongera Nape kwa ushujaa uliouonesha. Hakika historia yako itabaki katika nchi hii kizazi hata kizazi. Ingawa huko nyuma ulitosononesha kwa kupigania yasiyo haki, lakini kwa hili furahi na kushangilia maana haki yako sawabu yako mbele ya watanzania na mbele za mungu ni kubwa. Karibu kaka uungane...
itafika mahala mtasema wauza ngada ndio waliomfanyia huyo mkuu wenu wa dar visa mpaka akapata zero.
Nilipoona UVCCM wamekaa kimya nkajua hakuna namna nyingine ya kumsafisha huyo jamaa. Mtu pekee mpaka sasa aliyeshikilia future yake ni mtakatifu pekee ( yule aliyechukua form ya kugombea kwa hiari...
Wakati mwingine huwa nawashangaa watu wengine, mtu anafikili akisoma chuo flani basi kikikosolewa au kushauriwa anakuja juu kama vile chuo hicho ni cha baba yake. vyuo vyote vya serikali vinaendeshwa kwa kodi za watanzania wote hivyo kila mtu ana haki ya kushauri na kukosoa pale anapoona mambo...
kweli huu mwaka tumeisoma namba, bibi yangu toka azaliwe chakula chake kikuu ilikuwa ni ndizi. sasa migomba imenyauka, tetemeko likampitia, mvua hakuna, bei ya unga iko juu,sukari ndo usiseme. kila siku analalamika ila alikuwa mwanachama mtiifu wa kijani. ila sasa ameelewa somo nafikili...
Hakika huu msumari uko vizuri sana! tatizo watanzania wepesi kusahau. subili hiyo 2020 wakipewa t-shirt na kofia watasahau haya yote na baadae wataanza kulia uchaguzi ukiisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.