Dada analaumu lyf styl ya mzungu mesej itafsiriwe yan kil kitu dada anatak uhuru ndo anachokilalamikia mzungu hatak kumpa uhuru..ndomana anayaona maisha sio matamu
We elew kitu kimoja kila mwez mwanamke lazima awe hedhi asipoiona basi kuna tatizo...usichukulie kutokutoka kwa hedhi kama advantage kwako utajikuta unaandaa nep z mtoto....pole na hongera kwa kuwa baba
......
Yeah baada ya hedh y mwez wa 1 alikutana na mtu ndomana n inategemea ana mzunguk wa siku ngapi normal ni 21-35 days na ujue kuwa hedhi inawez ikawa kuanzia siku 3 mpk saba ila ujue kuwa siku za hedhi zinapokuwa ndogo ndo siku zisizozahatar zinaongezek ila siku z hedhi zikiwa nyingi bas siku z...
Inaonekan asubuhi humsalimii ndomana anawas was salamu sio mpk simu ata ile hello dr i miss u umeamkaje...inamfanya siku yake inaenda vzr kuliko kula buyu
Post sent using JamiiForums mobile app
Mi nilivyomsoma anataka attention yako...iyo kukupigia simu inatokana mara kwa mara inatokan n jinsi ulivyomzoesha pale mwanzon mapenz yalivyokuw moto moto....hujamwekea mazingira ya kumfanya akuamin....sasa unapokaa kimya sio suluhu maana saivi hujui anawaza nini n huo ukimya wako...anawez...
Nahus yup kweny ule umri wa miak 19-25 mdada huw na katabia kakuchagua bcz anajua bd analipa...mwache achague subir miak30 imkute hana aliyemwaminisha ndo ile slogan ya" ufupi is bothing when it comes to love utakapomuingia"na kutamani muda urudi nyuma!!! Kale kamsemo ka majuto ni mjukuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.