Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,198
Mkuu kama ulitoa boko kubali yaishe..Lea hiyo mimba...usije ukajaribu kumwambia aitoe...ni laana
Yeah baada ya hedh y mwez wa 1 alikutana na mtu ndomana n inategemea ana mzunguk wa siku ngapi normal ni 21-35 days na ujue kuwa hedhi inawez ikawa kuanzia siku 3 mpk saba ila ujue kuwa siku za hedhi zinapokuwa ndogo ndo siku zisizozahatar zinaongezek ila siku z hedhi zikiwa nyingi bas siku z hatr zinaongezeka,mdada hapo alipata mimba alipofanya mapenz mkawaida yai linatoka kila mwez so jiandaen kulea mtotoHii imetokea baada ya bnt kujikuta anaujauzito mchanga wa wiki mbili ilihal ana miez miwili hajapata hedhi.
Naomba kupata uzoefu je hii hal inawezekana!!? Kama inawezekana je n nn kmetokea maana weng tunaamin mwanamke anapopata hedh ndipo tunaanza kuhesab sku zake za mzunguko wa yai had kufikia siku za upatikanaj wa mimba.
Post sent using JamiiForums mobile app
We elew kitu kimoja kila mwez mwanamke lazima awe hedhi asipoiona basi kuna tatizo...usichukulie kutokutoka kwa hedhi kama advantage kwako utajikuta unaandaa nep z mtoto....pole na hongera kwa kuwa babaSio kukosea tulijirzsha kwamba kwakuwa hedh haikutokea kwa muda mref bas n xalama kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaelewa lakini.......mimba ya wiki mbiliiiiHiyo mimba kunamtu anatakiwa kushikishwa.Ile miezi miwili aliokua haoni hedhi ndio alipata hiyo mimba.