Mimba yenye utata

Mimba yenye utata

Mkuu kama ulitoa boko kubali yaishe..Lea hiyo mimba...usije ukajaribu kumwambia aitoe...ni laana
 
Hii imetokea baada ya bnt kujikuta anaujauzito mchanga wa wiki mbili ilihal ana miez miwili hajapata hedhi.
Naomba kupata uzoefu je hii hal inawezekana!!? Kama inawezekana je n nn kmetokea maana weng tunaamin mwanamke anapopata hedh ndipo tunaanza kuhesab sku zake za mzunguko wa yai had kufikia siku za upatikanaj wa mimba.

Post sent using JamiiForums mobile app
Yeah baada ya hedh y mwez wa 1 alikutana na mtu ndomana n inategemea ana mzunguk wa siku ngapi normal ni 21-35 days na ujue kuwa hedhi inawez ikawa kuanzia siku 3 mpk saba ila ujue kuwa siku za hedhi zinapokuwa ndogo ndo siku zisizozahatar zinaongezek ila siku z hedhi zikiwa nyingi bas siku z hatr zinaongezeka,mdada hapo alipata mimba alipofanya mapenz mkawaida yai linatoka kila mwez so jiandaen kulea mtoto

......
 
Hakuna cha ajabu hapo! Labda hamkufanya kabisaa alafu akakwambia ana mimba ndio ingekua ya ajabu,jiandae kulea mwana maana kulea mimba si kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom