Mbali na garama ya kununua ardhi umesahau mambo mengine muhimu pia.
Ethiopia haina grade separation wakati Kenya iko na 100% grade separation, yani hakuna mahali ambapo watu au magari yanapatana na reli.
Reli ya Ethiopia ilijengwa kwa corridor ya reli ya kitambo kwahivyo asilimia kubwa ya ardhi...
Kwa kweli nyani hua hajui kundule liko na upande gani:2Head::2Head::02Hype:
72% ya madaktrari Kenya wana uwezo wa kupeana matibabu yanayofaa kwa ugonjwa baada ya uchunguzi wa mara ya kwanza wakati Tanzania ni 57% pekee!
Ikija kwa miundombinu, Kenya iko na majengo ya hospitali na madaktari...
Aged like bad wine :p:p:p
https://x.com/lapsset/status/1957353688332218409?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1957353688332218409%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=
Hii mada ikifungwa hakuna shida sasa :p:p:p
https://x.com/lapsset/status/1957353688332218409?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1957353688332218409%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=
Lamu imepokea meli kubwa zaidi yenye ishawai kutia nanga ukanda huu wa mashariki!
Ilitia nanga kubeba mizigo iliokua imeshukishwa na meli nyengine. Mizigo inayosafirishwa kutoka Asia kwenda New York. Yani kama vile bandari ya Oman au Amsterdam hufamya kazi. Kampuni hio ya Hapag-Lloyd ishasema...
Yes, marekani sio nchi ya kukosewa bila mpango. Ruto asiwe kama wengine. Anyamaze na kufanya mambo kimya kimya, vile alivyofanya alipoenda China ilikua anajitafitia shida tupu. Aliambia Xi eti China ndo, "New World Order". Hilo tamko ndo limekasirisha marekani, manake hata hao marekani wanahofia...
Hivi unajua kabla ujio wa AI hao GenZ na millennials wa Kenya walikua wanaandika Thesis za PHD za wanafunzi wa kina Oxford na Stanford?
https://www.bbc.com/news/blogs-trending-58465189
Si support Ruto lakini Kwa hili swalha, aendelee kushikilia papo hapo hadi kieleweke. Tukiendeleza hivyo ipo siku tutakuja kua na nguvu za kidiplomasia kiasi cha kwamba tutakua tunaeza kufanya uhusiano na yeyote iwe east au west bila kutishiwa au kupewa onyo na yeyote...
------
Iran, Kenya...
Hebu nielezeni, Bandari ya Dar ilisafirisha mizigo tani ngapi ama kontena millioni ngapi mwaka wa 2024?
Manake kama mizigo yote iliopitia Dar 2024 ni 20-23 Million tonnes, na Kenya kupitia Bandari ya Mombasa ilisafirisha 13 million tonnes kwa nchi jirani pekee, inamaanisha mizigo ya nchi jirani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.