Recent content by Kafrican

  1. Kafrican

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Mbali na garama ya kununua ardhi umesahau mambo mengine muhimu pia. Ethiopia haina grade separation wakati Kenya iko na 100% grade separation, yani hakuna mahali ambapo watu au magari yanapatana na reli. Reli ya Ethiopia ilijengwa kwa corridor ya reli ya kitambo kwahivyo asilimia kubwa ya ardhi...
  2. Kafrican

    LAPSSET: Lamu Port and South Sudan Ethiopia Transport: News & Photos

    Lamu sahii ipo busy na trans shipment https://www.youtube.com/watch?v=5-qbIfTpnIc
  3. Kafrican

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Kwa kweli nyani hua hajui kundule liko na upande gani:2Head::2Head::02Hype: 72% ya madaktrari Kenya wana uwezo wa kupeana matibabu yanayofaa kwa ugonjwa baada ya uchunguzi wa mara ya kwanza wakati Tanzania ni 57% pekee! Ikija kwa miundombinu, Kenya iko na majengo ya hospitali na madaktari...
  4. Kafrican

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Nilikua sijawai ona hii. Ni jambo gani lilisababisha ajali hii jameni? https://www.youtube.com/watch?v=QpAfElm0f-E
  5. Kafrican

    Lamu and Bagamoyo Ports Progress

    https://www.standardmedia.co.ke/business/article/2001527376/time-for-lamu-port-to-shine-in-mombasa-decongestion-plan
  6. Kafrican

    Lamu and Bagamoyo Ports Progress

    Aged like bad wine :p:p:p https://x.com/lapsset/status/1957353688332218409?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1957353688332218409%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=
  7. Kafrican

    LAPSSET: Lamu Port and South Sudan Ethiopia Transport: News & Photos

    Hii mada ikifungwa hakuna shida sasa :p:p:p https://x.com/lapsset/status/1957353688332218409?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1957353688332218409%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=
  8. Kafrican

    LAPSSET: Lamu Port and South Sudan Ethiopia Transport: News & Photos

    Lamu imepokea meli kubwa zaidi yenye ishawai kutia nanga ukanda huu wa mashariki! Ilitia nanga kubeba mizigo iliokua imeshukishwa na meli nyengine. Mizigo inayosafirishwa kutoka Asia kwenda New York. Yani kama vile bandari ya Oman au Amsterdam hufamya kazi. Kampuni hio ya Hapag-Lloyd ishasema...
  9. Kafrican

    Hatuachani na China! Ruto aijibu Marekani

    Yes, marekani sio nchi ya kukosewa bila mpango. Ruto asiwe kama wengine. Anyamaze na kufanya mambo kimya kimya, vile alivyofanya alipoenda China ilikua anajitafitia shida tupu. Aliambia Xi eti China ndo, "New World Order". Hilo tamko ndo limekasirisha marekani, manake hata hao marekani wanahofia...
  10. Kafrican

    Kenya yaongoza Matumizi ya AI

    Hivi unajua kabla ujio wa AI hao GenZ na millennials wa Kenya walikua wanaandika Thesis za PHD za wanafunzi wa kina Oxford na Stanford? https://www.bbc.com/news/blogs-trending-58465189
  11. Kafrican

    Hatuachani na China! Ruto aijibu Marekani

    Si support Ruto lakini Kwa hili swalha, aendelee kushikilia papo hapo hadi kieleweke. Tukiendeleza hivyo ipo siku tutakuja kua na nguvu za kidiplomasia kiasi cha kwamba tutakua tunaeza kufanya uhusiano na yeyote iwe east au west bila kutishiwa au kupewa onyo na yeyote... ------ Iran, Kenya...
  12. Kafrican

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Homabay County new pier for Lake victoria.
  13. Kafrican

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Hebu nielezeni, Bandari ya Dar ilisafirisha mizigo tani ngapi ama kontena millioni ngapi mwaka wa 2024? Manake kama mizigo yote iliopitia Dar 2024 ni 20-23 Million tonnes, na Kenya kupitia Bandari ya Mombasa ilisafirisha 13 million tonnes kwa nchi jirani pekee, inamaanisha mizigo ya nchi jirani...
Back
Top Bottom