Kwani kunani huko Dar? yani hata barabara ya kutoka Lamu haijakamilika lakini tayari wameona ni faster kusafirisha mzigo kutoka Lamu hadi Burundi kupitia barabara.
_____
The Port of Lamu processed the first-ever transit container shipment destined for Burundi.
The cargo, which arrived aboard...
Hapo umechambua vizuri sana!!!! Pongezi!!!
Na pia kama uliangalia na kusikiza hayo mahojiano kati ya M7, Ruto na Dangote. Kuna wakati alisema Museveni alikataa iron ore itolewe Uganda na ipelekwe kufanyiwa refinement kwa viwanda vya Kenya. Ruto akarudi Kenya na kumshawishi mwekezaji mkuu wa...
Lakini Ruto hajaamua kiwanda kijengwe Kenya, Ni Dangote amesema angependelea hivyo lakini mwisho wa siku amemuachia Ruto aamue kama anataka kiwanda kijengwe Tanga au Mombasa.. Ni wanahabari wanacheza na vichwa vya habari kupata clicks
Wakenya hawana chuki kwa nchi yoyote jirani. Hili ni jambo ambalo watanzania hawatawai elewa manake ni baadhi yeni nyinyi ndio mmejaa unafik kila siku. Mtanzania yeyote akija Kenya anachukuliwa kama ndugu, lakini mkenya akienda Tanzania unashukiwa kama mwizi!
Wakenya ni watu competitive...
Mbali na garama ya kununua ardhi umesahau mambo mengine muhimu pia.
Ethiopia haina grade separation wakati Kenya iko na 100% grade separation, yani hakuna mahali ambapo watu au magari yanapatana na reli.
Reli ya Ethiopia ilijengwa kwa corridor ya reli ya kitambo kwahivyo asilimia kubwa ya ardhi...
Kwa kweli nyani hua hajui kundule liko na upande gani:2Head::2Head::02Hype:
72% ya madaktrari Kenya wana uwezo wa kupeana matibabu yanayofaa kwa ugonjwa baada ya uchunguzi wa mara ya kwanza wakati Tanzania ni 57% pekee!
Ikija kwa miundombinu, Kenya iko na majengo ya hospitali na madaktari...
Aged like bad wine :p:p:p
https://x.com/lapsset/status/1957353688332218409?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1957353688332218409%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=
Hii mada ikifungwa hakuna shida sasa :p:p:p
https://x.com/lapsset/status/1957353688332218409?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1957353688332218409%7Ctwgr%5E%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.