Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

😆
IMG_20260215_092623.jpg
 
Terrible!
Wako bize na mikopo mikubwa kulipana mishahara na kujenga wenyewe wanaita sijui: bypass, highway, dual-what-what 🚮

Kenya ni taifa la Kindezi sana.


View: https://x.com/ntvkenya/status/2022098430508904621?s=20

Kwa kweli nyani hua hajui kundule liko na upande gani:2Head::2Head::02Hype:

72% ya madaktrari Kenya wana uwezo wa kupeana matibabu yanayofaa kwa ugonjwa baada ya uchunguzi wa mara ya kwanza wakati Tanzania ni 57% pekee!

Ikija kwa miundombinu, Kenya iko na majengo ya hospitali na madaktari wengi zaidi kuliko Tanzania. 57% Kenya ukilinganisha na only 19% Tanzania.
Ikija kwa equipment availability ambapo sasa tunaongelea vitu kama ICU bed, CT scan, MRI kwa hospitali, Tanzania iko juu kidogo na 78% wakati Kenya iko na 76% availability lakini kumbuka unalinganisha Tanzania yenye 19% infrastructure na Kenya yenye iko na 57% infrastructure :1Head: Yani kenya iko na 3 times the infrastructure kwahivyo lazima tujaze hizo hospitali zote na equipment za kutosha!

1771139070900.png


Alafu najua ata hujui County hospital inamaanisha nini, haujui kuna Level 5 referral hospital kwa kila county ambazo ziko na ICU beds... Hio ripoti ulioweka inaongelea hospitali za county za level 4 kurudi chini.
 
Back
Top Bottom