Hivi kulikuwa na wagombea maana sijasikia kutangazwa kwao na kura walizopata nimeona za rais nazo zimetajwa jumlajumla bila kutangaza kama ilivyokuwa oktoba kwa kutangaza za kila jimbo inatia shaka na kura zilizotangazwa
Hesabu iliyotumika siyo ya uchaguzi huu uchaguzi wa Jana haukuwa Na watu kwa hiyo imetumika hesabu ya October kuhalalisha ushindi watu tumefuatilia Na tumeona wasidanganye
Halafu vyombo vya dola vinafanya nini hadi kamishina mkuu angelikuwa ocd tungesema hana ulinzi lakini kwa mkuu huyo vyombo hivyo vijichunguze inawezekana wanasalitiana
Kama anavyosema huyo mwenezi kuwa mgombea wake anaushawishi,ana mvuto na ana uwezo sifa zote sawa mbona haelezi kwa nini wamenyimwa madiwani Kinondoni na Ilala ni baada ya kuonekana uwezo wao mdogo kama yeye anaona mtu wake ana mvuto amtafutie mchumba
Kama ccm ilokuwa inaahidi bila kutekeleza ahadi zake bila utekelezaji we we unayen g'ang'ania Mbowe ajiuzuru una lako jambo ndani ya Chadema inaonekana kuwepo kwake kunakunyima usingizi M/ Kiti achana na wajinga kama hao
Inaonekana kaukoo halo kana ugonjwa kama mnakumbuka baba yao naye kuna mwaka akiwa mkoa was Dar alimpigania sana Manji awe mbunge jumbo LA Kigamboni had I walilipoteza likaenda upinzani chino ya mbunge Magoba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.