Tatizo bwana lizaboni nadhani ukada wako unakupoteza kwa kuwa mpotofu katika hoja zako nyingi ninazokutana nazo humu JF alichozungumza kama hukumwelewa walaumu Tanesco waliokata umeme vipaumbele vyake vikuu elimu bure hadi chuo kikuu elimu ndiyo inaondoa umaskini , ujinga na maradhi ambayo...
Kamati ya maadili ccm imemaliza kazi ya kuizika haiwezekani mtu au kiongozi mwenye akili timamu kukubaliana na upuuzi ulifanywa wa kuona watu watano ndiyo wenye maadili wakati huohuo ndiyo wanaongoza serikali kama wewe ungechukua uamuzi gani hata waliobakia huko ni roho ngumu na woga wa kunyomwa...
Kuna kigazeti chao cha udaku kinataka kutuaminisha rais bora ni yule aliye na uwezo wa kushuka kwa ngazi ghorofa saba muone jinsi walivyoishiwa na maneno ya kuzungumza .
Tatizo la wa kijani uongo wao hawaupimi hivi mtu mwenye akili timamu unaamka kuzusha uongo unakuwa unamdanganya nani au ndiyo ndiyo hofu poleni sana lakini chama washirika kitawasaidia kuwalinda ingawaje nao zamu hii sijui kama wataweza kuwasaidia kuiba kura
Mtoa mada sijamwelewa vizuri yeye alitaka chama kisichukue hatua kwa faida ipi kwa viongozi wapuuzi kama hao hayo tuwaachie ccm ndiyo wenye mfumo wa kulindana siyo CDM
Ccm ni wa ajabu sana kuchoka kwao wanakotupeleka ni hatari sana kama wanefikia kuita wawekezaji wa kutulisha nyama za punda wakati ng'ombe,mbuzi kondoo na kuku wapo wengi kwa tamaa zao kuna siku waita wawekezaji wa kusindika nyama za nyoka kwa tamaa zao zamadaraka za kijinga
Kwa nyongeza utafiti nilofanya wezi wote wa nchi hii wanaipenda sana ccm Lowasa wamemchukia sana nadhani tokea awe m/kiti kamati ya ulinzi bungeni huenda kuna kitu walishataka kukifanya akawakatalia ndiyo maana wakakata jina lake si bure
Wanaowalalamikia waotoka ccm kuja cdm kwa mawazo yangu kinachowasumbua akilini mwao kuendelea kupoteza majimbo kwa ujinga wa chama chao kupoteza mitaji ya ushindi walitegemea kuwa wao ni malaika wa kusubiri 2020 kwa mtu anayejitambua na mwenye uchungu na nchi ni lazima atafute upande wa pili...
Kwa maono yangu kwa wabunge wa viti maalum kupitia jumuia zake nina wasiwasi mwaka 2020 huenda tukawa na baraza la mawaziri la familia za viongozi wa chama cha kijani ref: majina ya wateule hao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.