Recent content by Kadingi

  1. K

    Sakata wafadhili wa UKIMWI kujiondoa: Wizi umezidi mama yangu Fatma wa TACAIDS na sio porojo

    Mkuu sio wahanga tu wanateseka hata wanao toa huduma nao cha moto wanakiona!Vyanzo vyangu vya habari hapo hapo makao makuu wilayani Chamwino vimenasa kuwa Tunajali Dodoma walishapeleka mishahara ya Data Clerk toka mwishoni mwa mwezi wa sita,lakini cha kushangaza mpaka ssa Data Clerk hawajapata...
  2. K

    Sakata wafadhili wa UKIMWI kujiondoa: Wizi umezidi mama yangu Fatma wa TACAIDS na sio porojo

    Ni kweli kabisaa!Mi n'a mdogo wangu anafanya kazi ya Data Clerk Singida chini ya asasi ya Tunajali,lakini nimefanya kautafiti kadogo ka Tunajali ya Dodoma hasa wilaya ya Kongwa,Mpwapwa,Bahi,Kondoa na Chamwino kuna wizi kwelikweli hasa kwenye natengenezo ya printa,compunta,pikipiki,manunuzi ya...
  3. K

    Behind the scenes - Obama na Rizwan Kikwete

    Mkuu mbavu sinaaaaaaaaa!Umetishaaaaaaa kinomaaaaaaaa!Body language ya Obama ni kama kweli anauliza!
  4. K

    Ooh Naingia kama Obamaaa!

    Mikwara!Wakina Obama wanasema read between the lines!Kuna uwongo wowote katika mambo niliyoongea kamanda wangu au unanitry!Wakati mwingine maelezo ya mtu yaweza kukujulisha tabia yake,so mimi si mtu wa mikwara kama watz wengi tulivyo maneno mengi kuliko matendo!
  5. K

    Ooh Naingia kama Obamaaa!

    Asante Mkubwa!
  6. K

    Natamani Rais wangu awe anaongozana na watoto wake wote kama Rais Obama

    Jamani nyie vipi!Mwanaume haesabiwi watoto!Na kisheria za serikali ni watoto nne tu ndio wanatambuliwa kwa waheshimiwa kwa ajili ya kusomeshwa hata mambo ya afya na mambo mengine ya kiserikali,ila kwenyekuwatambua au maurithi hata uwe nao mia utajijua ili mradi tu watambulike!
  7. K

    Ooh Naingia kama Obamaaa!

    Umejuaje kama mi dogo,wakati hapo juu panajieleza kabisaa!Nina hasira kwa sabubu ya ujinga wetu,kaja Clinton ,Bush na leo Obama hebu nipe tathimini ya hizo ziara mbili mpaka sasa!Au vyandarua!Aaah jamani hata hii inahitaji kuwa na Digrii mbili za uchumi!
  8. K

    William Ruto na dhihaka kwa ujio wa Obama!

    Sisi tutapokea akina Obama na wenzake na kupiga picha nao lakini ni mwisho wa siku maendeleo kama hatujajipanga tutayasikia kwenye maandishi huku rasirimali zetu zikiondoka mchana kweupe huku tukiwapigia mizinga 21 wezi wa rasirimali zetu!
  9. K

    Ooh Naingia kama Obamaaa!

    Ndio naingia jamani,nipokeeni kwa hesima na taadhima!Niaje ma Greater Thinker!Mpo!Au mpo mpo kama kina naliu,nani wale wa pale mtaa wa Rais wa kwanza aliye uliwa kule Zaire nani yule...aah!Lete hoja tachagia hoja ukileta vioja tajua umeonja au wale makanjanja!Mnamfulrahia Oboma mmejipanga na...
Back
Top Bottom