naomba msaada wenu wana jf wezangu jana wakati napita naelekea maeneo ya mjini karibu kabisa na majumba ya michenzani unguja eneo linaloitwa kisonge nilikuta bango kubwa lililoandikwa kwa maneno kama ifuatavyo UNAMJUA Pierre Nkurunziza wa zanzibar halafu mwisho wakaandika Mapinduzi daima.hapo...
Poleni famailia ya marehemu ndo mipango ya mungu,huwez kujua cku yko lini na wapi wamepigwa ambush wengi lakin wamekufa wawili ndo siku yao ilifika.R.I.P makamanda wetu
Bye bye,young africans,nitapumua mtaani ukweli utabaki simba ni timu pekee iliyowatoa waarabu mtake msitake na naomba mwakan ktk round ya kwanza mkutane na enyimba,au waarabu wa misri tena ili mtoke mapema
Asante cynic kwa kuweka hyo data wanamsimbaz tunaenda kwa ushahidi na kumbukumbu zetu kuanzia michuano ya afrika,kagame,tasker,mtani jembe,mapinduzi cc nyinyi ndala hamna histori nzuri zaidi ya ligi kuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.