Wazanzibari na utitiri wa vitambulisho

Wazanzibari na utitiri wa vitambulisho

Gor

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,791
Reaction score
850
Leo nimejiona mpweke mbele ya kijana wa kizanzibar,yaani jamaa ana aina nyingi za vitambulisho mpaka nika blow.

1- cha kupiga kura ya NEC
2- cha nida
3- cha udereva
4- cha kupiga kura ZEC
5- cha mkazi wa Zanzibar
6- passport

Sasa mimi nina cha kura iliyotolewa 2005 na NEC imefutika mpaka nikaona aibu.Hivi mbona sisi hata hizi za taifa hatupati
 
Ebu tupe maelezo ya kueleweka,wewe n mzenj au mtu wa bara
 
Unataka cha nini mbona maisha yanaendelea vyema tu. Nafuu hata weye una hicho cha Nec wenzio hata cha kuzaliwa tu hatuna. Serekali hii sikivu imesema Mola akiturehemu tutapata cha mpiga kura siku za karibuni. Kitakuwa changu cha kwanza kwa miaka hii 56 niliyoishi duniani.
 
  • Thanks
Reactions: Gor
Kama upo kwako kihalali vitambulisho vya nini. Cha kuzaliwa tu kinatosha.
 
Back
Top Bottom