Recent content by Kadaada

  1. Kadaada

    U.T.I sugu mwaka wa pili huu

    nlikunywa madawa ya kyenyeji hukoo bukoba "akaho" mpaka sasa sina hata kdogo....ilinitesa mno
  2. Kadaada

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    ndugu yetu saanane tumekumiss
  3. Kadaada

    Moses Machali: Ni fikra chakavu za upinzani kulaani kikao cha CCM kufanyika Ikulu

    mengine sio lazima kutetea......sa huyu ndo katetea nn....
  4. Kadaada

    Nataka Rais Magufuli ashindwe

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  5. Kadaada

    Wala kitimoto tahadhari: It's not a tumor, It's a brain worm

    pale kalvari yote yalikwisha....ndo maana agano la kale latwambia tuwachukie adui zetu ila sisi twawapenda.....Kristo alimaliza
  6. Kadaada

    Nimemfumania mume wangu PR Hotel sikia haya

    punguza kumfatilia...relax usisahau thamani yako..kikubwa muombe sana MUNGU
  7. Kadaada

    Sherehe za Uhuru; Sababu Zilizoahirisha Mwaka Jana Zimeisha?

    kwa hiyo una maana anapenda kupigiwa makofi?? yaani KIKI??
  8. Kadaada

    Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

    Will my baby face all this??[emoji17] [emoji17] [emoji17] ....better niwe msomi nisiolewe
  9. Kadaada

    Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

    Imenichoma....hapa tu nina ujauzito wa miez minne...mwenyenao ashaniruka...nalia na dunia...I alwez wanted to have a family....kazi sina pesa sina....mama tu ndo msaada wangu....wadada tuwe makini sana...for me its too late for regrates...ndo kwanza am 24
  10. Kadaada

    Waziri wa viwanda ajivunia kuongezeka idadi ya viwanda vya matofali

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah thread ya leo ni komesha...mbav zangu
  11. Kadaada

    Ujenzi wa miundo mbinu ya shule kule Kagera ni zaidi ya bilioni 22!

    kwa hiyo turudi kwenye enzi za umande??? PTC
  12. Kadaada

    Ujenzi wa miundo mbinu ya shule kule Kagera ni zaidi ya bilioni 22!

    mtoto gani atasoma na kuekewa darasani akat yupo psychologically disturbed? atoke kne hema chakavu aende darasan ataelewa?? mahaba yasikupumbaze mkuu....kuna faida gani ya kutibu maralia ilhal watu wanaendelea kulala nje?? hiv unalijua vzur baridi la Bukoba? Esp when it rains?? sasa kipi...
Back
Top Bottom