Recent content by kada wa chama

  1. kada wa chama

    Nafasi za JKT zinatoka lini?

    Depo mwezi wa 10 so watapanga miez miwil kabla Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
  2. kada wa chama

    UTEUZI: Rais Magufuli amteua Anne Kilango Malecela kuwa mbunge

    Mfumo wa hii nchi hauwezi kubadilishwa na mtu mmoja bali ni kwakua na katiba bora kwa maslahi ya nchi. Mama aliondolewa shinyanga kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake hasa ya kuweka bayana mkoa unawatumishi hewa wangpi na ile kauli ya Mh rais ya tutampangia kazi nyingine ni ya kiubinadamu tu...
  3. kada wa chama

    Hivi kuna jipya kutoka kwa Rais Magufuli?

    Impact ya wafanyakazi hewa ni kuongezeka kwa bill ya mishahara ....na kutotangaza ajira uhakiki unachukua mwaka mzima aisee mbona hatar sana kwa maslah ya nchi wafanyakazi wa serikal saiv wanalewa na kazi wengine wanafanya kazi zilizonje ya professional zao with no allowances and overtime...
  4. kada wa chama

    Zitto: Thamani ya Tshs dhidi ya Dola inazidi kuserereka. Leo $1=Tshs 2235 Nini Kinaendelea?

    Kushuka kwa shiling ya Tanzania dhidi ya Dollar ya Marekani kunasababishwa na mambo yafuatayo kwa uchache; 1.Uzalishaji mdogo wa bidhaa zenye ubora 2. Exportation ya raw material imekua kubwa kuliko ya finished product 3.Importation ya finished product inayopelekea kutumia kubadilisha pesa yetu...
  5. kada wa chama

    Uteuzi wa Wabunge 10: Jicho la kisheria

    Umeongea mambo ya msingi sana ila sidhani kama alieteua anaweza kutengua kinachoendelea ni uvunjifu wa katiba
  6. kada wa chama

    Freeman Mbowe, tueleze CHADEMA mlipompeleka Ben Saanane

    Unaongea kwa kutumia makalio au mdomo?!!
  7. kada wa chama

    Freeman Mbowe, tueleze CHADEMA mlipompeleka Ben Saanane

    Uvccm haina katiba bali ina kanunu
  8. kada wa chama

    Freeman Mbowe, tueleze CHADEMA mlipompeleka Ben Saanane

    Itakua kwenye katiba ya chdm si ya Tanzania
  9. kada wa chama

    Freeman Mbowe, tueleze CHADEMA mlipompeleka Ben Saanane

    Litakuaa kwenye katiba ya chadema labda sio ya nchu
  10. kada wa chama

    Edward Lowassa awasili wilayani Chemba kwenye ziara ya kikazi

    Avaeje gwanda wakati bado anadamu ya ccm
  11. kada wa chama

    Nimempata mwanamke mzuri sana lakini siamini nahisi kama ananienjoy tu

    Hao ndio wanaume wa dar Njoo arusha nikufundishe jambo
  12. kada wa chama

    Serikali: Fedha za Maafa ya Tetemeko Kagera zimeelekezwa kwenye Taasisi za Umma

    Kunajambo nashindwa kulielewa Kwaninavofahamu suala la kutengeneza au kujenga miundombinu ni kazi ya serikal kupitia mifuko ya majimbo na halmashauri pale inapotokea janga kama lililiwakuta ndg zetu wa kagera na ss kama watanzania na wahisani mbalimbali kwa kuguswa kwao wakaamua kuchangia pesa...
  13. kada wa chama

    Nilikwenda kuzimu na nikarudi duniani (simulizi ya kweli)

    Usisahau kunitag aisee stori tamu sana Inafunzo mwishoni
Back
Top Bottom