Recent content by kachwankizi

  1. K

    JamiiForums Tanzania StarTV yakatisha matangazo ya BBC Swahili baada ya mtangazaji kusoma kichwa cha habari

    Nilikimbilia huko mara baada ya kukata matangazo saa tatu kumbe ni saa nne.Asante sana kunifumbua macho.
  2. K

    JamiiForums Tanzania StarTV yakatisha matangazo ya BBC Swahili baada ya mtangazaji kusoma kichwa cha habari

    Mara baada ya mtangazaji kusoma kichwa Cha habari za Tanzania matangazo ya BBC Swahili yalikatika. Kwa nini?
  3. K

    JamiiForums Tanzania Polisi yatoa siku 60 kwa wamiliki wenye silaha haramu kuzisalimisha

    Silaha zilizotajwa na Mange kupita bandarini zitarudishwa ughaibuni?
  4. K

    JamiiForums Tanzania Nipeni sababu, kwa nini Askofu Bagonza hajagombea hata Udiwani?

    Maisha yake huwa hayaakisi anachokiongea.Ni mbabe, hapendi kukosolewa, na amewapa mzigo mzito waluteri kwa michango na ni kiguu na njia Kwa safari. Pia anawatoto mitaani.Rejea skendo ya mama wa Arusha.Hata ubolozi wa nyumba kumi hapati.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Serikali izuie mfumo wa Pre Form 1 hadi Novemba. Watoto wapate muda wa kupumzika baada ya safari ndefu ya elimu ya msingi

    Mwanzo wa maandalizi ya taifa la kijinga. Walijaribi kuzuia masomo wakati wa likizo wakashindwa maana wao ndo wana shule za binafsi. Nikumbushe amri Gani ilishawahi kufanikiwa TZ! Uuzaji wa nguo za ndani!? Matumizi ya mifuko ya plastiki? Ubazilifu wa Mali za uma? Rushwa? Kujaza abiria kwenye...
  6. K

    JamiiForums Tanzania KERO Vigezo vya pepmis vimeacha maumivu kwa baadhi ya watumishi katika kupanda madaraja

    Hii mada imeandikwa mara nyingi humu.Hivyo ni muhimu wahusika kusikiliza vilio hivi.
  7. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama Mfaume Mfaume kashinda hilo pambano na mmalawi, tusilaume tume za uchaguzi Afrika kupanga matokeo

    Kwa aliye angalia pambano la Mfaume dhidi ya mmalawi atakuwa alipigwa na butwaa kwa kile kilichoamuliwa na majaji. Kwa kuwa tunapenda uzalendo kuliko uhalisia basi tusahau maendeleo ya mchezo wa maswimbi Tanzania .Ni aibu. Mfaume alipigwa mpaka ukumbi ulikuwa kimya wakati wote wa mchezo...
  8. K

    JamiiForums Tanzania Huyu Binti Kwa kusema hivi anaweza kukamatwa?

    Umeuza file brother!!
  9. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Akina dada kumpa Ex wako penzi siku moja kabla ya harusi huwa mnafikiria nini?

    Na raha isingelikuwepo.
  10. K

    JamiiForums Tanzania SGR inahujumiwa kwa maslahi ya nani?

    Trump anasemaje kuhusu waafrika?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Pichani ni Mke wa Mtume Bulldozer Mwamposa, mama wa madhabahu ya Inuka Uangaze

    Hizi Pete nimezielewa.Ngoja sisi tuendelee kutoa sadaka.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri wenu wana JF katika hili

    Hahaha, wamama wajane! Isitembelee rimu.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Mwaka huu Serikali imetumia mfumo wa PEPMIS wa mwaka jana kupandisha madaraja Kwa mwaka 2024/2025. Matokeo yake watu wengi wameachwa

    Mkuu, msingi wa hoja yangu sI kupinga matumizi ya huu mfumo. Ninachojaribu kuonyesha ni ugeni wa mfumo Kwa watumiaji na ukubwa wa hukumu iliyotolewa Kwa kutumia huu mfumo.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Mwaka huu Serikali imetumia mfumo wa PEPMIS wa mwaka jana kupandisha madaraja Kwa mwaka 2024/2025. Matokeo yake watu wengi wameachwa

    Mwaka huu Serikali imetumia mfumo wa PEPMIS wa mwaka jana kupandisha madaraja Kwa mwaka 2024/2025. Matokeo yake watu wengi wameachwa sababu alama zao ziko chini. Kuna walimu wa ajira ya 2012 waliotakiwa kupanda Kwa mserereko na wale wa ajira mpya ya 2020 wameachwa. Kwa mtizamo wangu Kwa kuwa...
Back
Top Bottom