Kuna kitu najiuliza mpaka sasa sijapata jibu. Mbona ulaya na Marekani wanakobadili vyama vya kuongoza serikali kwenye chaguzi ndo wanauchumi imara na ndo tunakwenda kuomba? Afrika hatujang'amua kwamba kushikiria chama kimoja miaka hamsini mia ni mkwamo wa maendeleo?
Jamii forum ndo jukwaa lenye mchanganyiko wa watu mbalimbali wakiwemo wasomi na watu wenye vitengo mbalimbali n.k. Hivyo wingi wa uchangiaji kwenye mada fulani unaweza kusaidia kuiona sura ya taifa.
Je wachangiaji wengi wapo kwenye nyuzi za siasa, michezo, vita, uchumi, harakati za maisha...
Maisha yake huwa hayaakisi anachokiongea.Ni mbabe, hapendi kukosolewa, na amewapa mzigo mzito waluteri kwa michango na ni kiguu na njia Kwa safari. Pia anawatoto mitaani.Rejea skendo ya mama wa Arusha.Hata ubolozi wa nyumba kumi hapati.
Mwanzo wa maandalizi ya taifa la kijinga. Walijaribi kuzuia masomo wakati wa likizo wakashindwa maana wao ndo wana shule za binafsi. Nikumbushe amri Gani ilishawahi kufanikiwa TZ! Uuzaji wa nguo za ndani!? Matumizi ya mifuko ya plastiki? Ubazilifu wa Mali za uma? Rushwa? Kujaza abiria kwenye...
Kwa aliye angalia pambano la Mfaume dhidi ya mmalawi atakuwa alipigwa na butwaa kwa kile kilichoamuliwa na majaji.
Kwa kuwa tunapenda uzalendo kuliko uhalisia basi tusahau maendeleo ya mchezo wa maswimbi Tanzania .Ni aibu.
Mfaume alipigwa mpaka ukumbi ulikuwa kimya wakati wote wa mchezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.