Recent content by kachwankizi

  1. K

    JamiiForums Tanzania Chupa zilizojaa mkojo zaidi ya 2,000 zakutwa ndani kwa mama ntilie jijini Arusha

    Ndo maana chakula cha mama ntilie kitamu sana.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Mbona wanakobadili vyama kwenye uchaguzi ndo tunaenda kuomba?

    Kuna kitu najiuliza mpaka sasa sijapata jibu. Mbona ulaya na Marekani wanakobadili vyama vya kuongoza serikali kwenye chaguzi ndo wanauchumi imara na ndo tunakwenda kuomba? Afrika hatujang'amua kwamba kushikiria chama kimoja miaka hamsini mia ni mkwamo wa maendeleo?
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kumbe yasemwayo kuhusu wahaya ni ukweli?

    Wanajisifu na misifa wanayo.Au hilo hukuona?
  4. K

    JamiiForums Tanzania Nyuzi zipi zina wachangiaji wengi?

    Jamii forum ndo jukwaa lenye mchanganyiko wa watu mbalimbali wakiwemo wasomi na watu wenye vitengo mbalimbali n.k. Hivyo wingi wa uchangiaji kwenye mada fulani unaweza kusaidia kuiona sura ya taifa. Je wachangiaji wengi wapo kwenye nyuzi za siasa, michezo, vita, uchumi, harakati za maisha...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Tunaposema elimu imeboreka tunaangalia vitu gani?

    Mara nyingi utasikia watu hasa viongozi wakisema elimu ya Tanzania imeboreka.Kipi kinaangaliwa?
  6. K

    JamiiForums Tanzania Polisi Bariadi wafafanua video ya Askari na Bodaboda aliyekuwa na Magunia ya Alizeti

    Watu wengi wanashauri jeshi hili kufanyiwa mageuzi.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Tangu uzaliwe ulishawahi sikia au kuona ripoti ikisomwa, kuonyesha sababu ya kifo cha mtu flani ni UKIMWI?

    Mandela aliwahi mtangaza mtoto wake kwamba kafa kwa ukimwi
  8. K

    JamiiForums Tanzania StarTV yakatisha matangazo ya BBC Swahili baada ya mtangazaji kusoma kichwa cha habari

    Nilikimbilia huko mara baada ya kukata matangazo saa tatu kumbe ni saa nne.Asante sana kunifumbua macho.
  9. K

    JamiiForums Tanzania StarTV yakatisha matangazo ya BBC Swahili baada ya mtangazaji kusoma kichwa cha habari

    Mara baada ya mtangazaji kusoma kichwa Cha habari za Tanzania matangazo ya BBC Swahili yalikatika. Kwa nini?
  10. K

    JamiiForums Tanzania Polisi yatoa siku 60 kwa wamiliki wenye silaha haramu kuzisalimisha

    Silaha zilizotajwa na Mange kupita bandarini zitarudishwa ughaibuni?
  11. K

    JamiiForums Tanzania Nipeni sababu, kwa nini Askofu Bagonza hajagombea hata Udiwani?

    Maisha yake huwa hayaakisi anachokiongea.Ni mbabe, hapendi kukosolewa, na amewapa mzigo mzito waluteri kwa michango na ni kiguu na njia Kwa safari. Pia anawatoto mitaani.Rejea skendo ya mama wa Arusha.Hata ubolozi wa nyumba kumi hapati.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Serikali izuie mfumo wa Pre Form 1 hadi Novemba. Watoto wapate muda wa kupumzika baada ya safari ndefu ya elimu ya msingi

    Mwanzo wa maandalizi ya taifa la kijinga. Walijaribi kuzuia masomo wakati wa likizo wakashindwa maana wao ndo wana shule za binafsi. Nikumbushe amri Gani ilishawahi kufanikiwa TZ! Uuzaji wa nguo za ndani!? Matumizi ya mifuko ya plastiki? Ubazilifu wa Mali za uma? Rushwa? Kujaza abiria kwenye...
  13. K

    JamiiForums Tanzania KERO Vigezo vya pepmis vimeacha maumivu kwa baadhi ya watumishi katika kupanda madaraja

    Hii mada imeandikwa mara nyingi humu.Hivyo ni muhimu wahusika kusikiliza vilio hivi.
  14. K

    JamiiForums Tanzania Kama Mfaume Mfaume kashinda hilo pambano na mmalawi, tusilaume tume za uchaguzi Afrika kupanga matokeo

    Kwa aliye angalia pambano la Mfaume dhidi ya mmalawi atakuwa alipigwa na butwaa kwa kile kilichoamuliwa na majaji. Kwa kuwa tunapenda uzalendo kuliko uhalisia basi tusahau maendeleo ya mchezo wa maswimbi Tanzania .Ni aibu. Mfaume alipigwa mpaka ukumbi ulikuwa kimya wakati wote wa mchezo...
Back
Top Bottom