Maisha yake huwa hayaakisi anachokiongea.Ni mbabe, hapendi kukosolewa, na amewapa mzigo mzito waluteri kwa michango na ni kiguu na njia Kwa safari. Pia anawatoto mitaani.Rejea skendo ya mama wa Arusha.Hata ubolozi wa nyumba kumi hapati.
Mwanzo wa maandalizi ya taifa la kijinga. Walijaribi kuzuia masomo wakati wa likizo wakashindwa maana wao ndo wana shule za binafsi. Nikumbushe amri Gani ilishawahi kufanikiwa TZ! Uuzaji wa nguo za ndani!? Matumizi ya mifuko ya plastiki? Ubazilifu wa Mali za uma? Rushwa? Kujaza abiria kwenye...
Kwa aliye angalia pambano la Mfaume dhidi ya mmalawi atakuwa alipigwa na butwaa kwa kile kilichoamuliwa na majaji.
Kwa kuwa tunapenda uzalendo kuliko uhalisia basi tusahau maendeleo ya mchezo wa maswimbi Tanzania .Ni aibu.
Mfaume alipigwa mpaka ukumbi ulikuwa kimya wakati wote wa mchezo...
Mkuu, msingi wa hoja yangu sI kupinga matumizi ya huu mfumo. Ninachojaribu kuonyesha ni ugeni wa mfumo Kwa watumiaji na ukubwa wa hukumu iliyotolewa Kwa kutumia huu mfumo.
Mwaka huu Serikali imetumia mfumo wa PEPMIS wa mwaka jana kupandisha madaraja Kwa mwaka 2024/2025. Matokeo yake watu wengi wameachwa sababu alama zao ziko chini.
Kuna walimu wa ajira ya 2012 waliotakiwa kupanda Kwa mserereko na wale wa ajira mpya ya 2020 wameachwa.
Kwa mtizamo wangu Kwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.