Recent content by kachui

  1. kachui

    KUFUNGA LAINI YA SIMU ISIPATIKANE.

    Me natumia airtel na Voda
  2. kachui

    KUFUNGA LAINI YA SIMU ISIPATIKANE.

    Bado sijakupat vizuri hapo kwenye sms na call nafanyaje.
  3. kachui

    KUFUNGA LAINI YA SIMU ISIPATIKANE.

    Asante sana mkuu, kutoa lock nafanyaje mkuu
  4. kachui

    KUFUNGA LAINI YA SIMU ISIPATIKANE.

    Maji yapo shingoni naombeni msaada wenu
  5. kachui

    KUFUNGA LAINI YA SIMU ISIPATIKANE.

    Kwa jicho hilo kweli nitapona
  6. kachui

    KUFUNGA LAINI YA SIMU ISIPATIKANE.

    Poa, ila me naomba ambayo wao wasiweze kunipata hewani ila me naweza kuwapigia.
  7. kachui

    KUFUNGA LAINI YA SIMU ISIPATIKANE.

    Hapana mtu yeyote akipiga asinipate hewani
  8. kachui

    KUFUNGA LAINI YA SIMU ISIPATIKANE.

    Plz msaada ndugu yangu
  9. kachui

    KUFUNGA LAINI YA SIMU ISIPATIKANE.

    Habari ndg zangu, msaada ni huduma gani naweza kutumia ili kuweza kufunga mtu akinipigia asiweze kunipata hewani . Msaada wana jf
  10. kachui

    Ninajihisi mjamzito, lakini sikumbuki ni wa nani

    Magonjwa ni mengi kuwa makini,kumbukumbu zako zitakufahamisha vizuri kutambua mimba ni ya nan??mwanaume ndo anaweza akadanganya ila mwanamke anaelewa mimba ni furani.[emoji108] [emoji108]
  11. kachui

    Kaniacha ila kila mara ananitumia texts na kunipigia simu

    Bado unampenda sana ndo maana unashindwa .
Back
Top Bottom