Recent content by Kachera

  1. K

    Islamic Scholar anasema Waislamu wanaonewa wivu na dini zingine sababu ya Warembo Mabikra 72 watakaopewa Peponi

    Nina rafiki yangu amelewa dini sana. nina uhakika hawezi kuninyima hata wawili yeye abaki na hao sabini
  2. K

    Kwanini Yesu hakuwa na wanafunzi wanawake?

    Inasemekana alikua anajipumzisha hapo
  3. K

    Hivi kwanini Mungu ana wivu?

    Ulijadiliana lini na huyo unae muita Mungu akakuleza hayo
  4. K

    Hivi kwanini Mungu ana wivu?

    Unaweza kuelezea akili ni kitu gani?
  5. K

    Hivi kwanini Mungu ana wivu?

    Akili yako inahitaji tohara bado inagovi
  6. K

    Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

    Kukemea ndio kufanyaje ndugu?
  7. K

    Zanzibar vs Darfur

    Sasa mbona Kule sudani wana uwana wenyewe kwa wenyewe Huo undugu umewasaidia nini?
  8. K

    Wajue hijra, ama jinsia ya tatu kutoka India

    Aje awachukue tu mtuondolee kelee. Na Kama hana nauli aseme tu mtumie
  9. K

    Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

    Kwani wewe umesha wahi kuwekwa kinyumba na huyo Mungu mpaka ukajua kwamba hanyagi?
  10. K

    Uvumi unaendelea kuhusu unga kutiwa vitu vya kupunguza nguvu za kiume na kuchochea ushoga

    Lakini ndio wazee wajinga kuliko wa ulaya japani na kwineko.
  11. K

    Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

    Unaweza kutuelezea afande Rama kafumuliwa kwa amri ya Nani? Maana Nina uhakika hajawai kukanyaga kanisani.
  12. K

    Mtu akifa anaenda wapi?

    Ninacho weza kusema nikua umechagua kua mpumbavu. hakuna ushahidi wowote unathibisha uwepo wa Adam Hawa Wala abil Wala kaini
  13. K

    Hatimaye Putin akubali shambulio lilifanywa na magaidi wa kiislamu ila asema Ukraine ilihusika kiaina

    Na kwa kumongezea tu mke wa pm majaliwa Ni mkatoliki mpaka kesho mke wa mzee makamba ni mkatoliki daima
Back
Top Bottom