Mimi ni mteja wa NMB tawi la Korogwe. Nimechukua mkopo July, 2016.
Kinachonishangaza kila mwezi mbali mkopo huwa nkatwa takribani sh 30,000.00! Fedha hii inayokatwa haionyeshwi kwenye salary slip yangu ila ktk bank statement inaonekana inakatwa!
Je ni halali tawi la benki au mtu mwingine...
Naomba kama ni waumini kweli tukumbuke tutahukumiwa kwa kauli zetu na matendo yetu. Tumuogope mungu mambo mengine. Tusijidanganye kwamba tutasamehewa dhambi zetu tukitubu; dhambi ikishaandikwa haifutiki adhabu yake kaburini na kiyama.
Ifikie wakati watu wasijiongezee dhambi kwa kunena uongo, waridhike na walizokuwa nazo au watubie ili zipungue. Mimi. Nasikitika watu kutengeneza mambo na kuwaaminisha watu ni kweli.
Nashangaa siku zote Mwakyembe alikuwa wapi. Mi nafikiri ni bora aeleze ccm ilichokifanya na wapi walikwama na ipi mikakati ya sasa na siyo kurudia ahadi hizohizo katika chaguzi .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.