Recent content by Kabweka12

  1. K

    Alcohol drinkers special thread

    Mhmmm kumbe leo ijumaaa![emoji481][emoji481][emoji481][emoji481]
  2. K

    Alcohol drinkers special thread

    Mbona konyagi ipo ya kupima muzee.
  3. K

    Alcohol drinkers special thread

    Chimbo tamuuuu sana hili. Ni mwendo wa kunywa vyombo kama kambale
  4. K

    Alcohol drinkers special thread

    Sasa hii sio kiuu ni hatari. Kila ninaposema leo nipumzike kooo linaanza kuwasha mapema sana.
  5. K

    Alcohol drinkers special thread

    Leo mimi hapana. Kilichonikuta jana ni hatariii. Nilikuwa na laki tatu mfukoni etiii nimeamka na 120. Hesabu haikubali kabisa.
  6. K

    Mara ya kwanza kubet ulijiskiaje?

    Wahindi kama wachawi. Kuna wakati nawaza kubet kabla game hazijaanza nachaguuuuua mara zianzapo siweki mkeka maana sinawajuaaaaa! Nisipoweka ndo nakuwa nimepatia ila ningeeeweeeka sasa dk 45 nyingiiiiii
  7. K

    Alcohol drinkers special thread

    Ngoja na mimi nikaitafte balimi ndogo maana aka kabaridiiii
  8. K

    Mara ya kwanza kubet ulijiskiaje?

    Wanawake una bet vipi?
  9. K

    Alcohol drinkers special thread

    Leo wapi hiyo wandugu.
  10. K

    Mara ya kwanza kubet ulijiskiaje?

    Hahhahaha Yegojudge umenichekesha baraaaa. Eti wanaanza na sh ngapi. Hiyo kitu ata sh mia moja unaweza ukala milioni. Ni wewe tuu maamuzi.
  11. K

    Mara ya kwanza kubet ulijiskiaje?

    Mfano leo ningempa barca na man city[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
  12. K

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mhmm man city kawa bwabwa.
  13. K

    Natafuta Mchumba/Mume

    Mhmm mimi nina degree ila mshua hataki niajiriwe kaniachia nyumba na hillux black na akaunti kaniwekea bilion mbili kanambia nitafte mke.
  14. K

    Alcohol drinkers special thread

    Stella hapa
  15. K

    Mara ya kwanza kubet ulijiskiaje?

    Formula ikitoka nahisi na mimi nitaipima kwanza.
Back
Top Bottom