Recent content by kabuya

  1. kabuya

    JamiiForums Tanzania Ni nani aliyemjua Mwalimu huyu wa Michezo Aza Boy kuwa alikuwa Jasusi(kachero)refa wa mchezo wa Ngumi?

    Hata wewe umekosea siyo kuwasirisha ni kuwasilisha
  2. kabuya

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kimbiji, Kigamboni

    Km ngapi kutoka ferry?
  3. kabuya

    JamiiForums Tanzania Je, wajua neno Fitikalikiti ni kiingereza 'Physically Fit'

    Check rail=chekereni
  4. kabuya

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Pump ya kumwagilia inauzwa

    Mpya 320,000
  5. kabuya

    JamiiForums Tanzania Makaburi ya Kisutu yamebeba kumbukumbu kubwa ya wapigania uhuru wa Tanganyika

    Tuletee history ya HAMZA MWAPACHU nae naskia alipigania uhuru wa Tanganyika na alikuwa msomi mzuri kipindi hicho
  6. kabuya

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu yangu fupi ya Mohammed Seif Khatib

    napenda sana makala zako jinsi ya uwasilishaji wako
  7. kabuya

    JamiiForums Tanzania Wadogo zangu, kabla TV hazijaja enzi hizo mgeni alikuwa anapewa album atazame picha za zamani. Yaani umpe Mtanzania album asichomoe picha hata moja?

    Baba yake Enrique alikua anaitwa Julio Eglisias huyo ni mbaya hatari hana nyimbo mbaya!
  8. kabuya

    JamiiForums Tanzania Wadogo zangu, kabla TV hazijaja enzi hizo mgeni alikuwa anapewa album atazame picha za zamani. Yaani umpe Mtanzania album asichomoe picha hata moja?

    Enzi hizo hamna cd wala USB flash watu walikua mwendo LP au santoro kwa jina jingine na tapes,mtu unamwaazima tape unaringishia na Walkman
  9. kabuya

    JamiiForums Tanzania Dar miaka ya nyuma ilikuwa tamu sana

    Watoto walikuwepo wengi tu warembo tena gate kali maana hayo Madison yote niliyoyataja yalikua yanapiga Sunday boggie kuanzia saa 4 asubuh hadi saa 2 usiku
  10. kabuya

    JamiiForums Tanzania Dar miaka ya nyuma ilikuwa tamu sana

    Kila nabii na zama zake sisi kwa kweli ndio tulikula raha dar enzi za RSVP disco ,YMCA,msasani beach,Rungwe Oceanic,Silversands, Magott enzo hizo ukimwi nadra!
  11. kabuya

    JamiiForums Tanzania Serikali ichunguze makampuni ya gas

    Watu elimu ya gesi hawana ndio maana kila siku wanalalamika,unaponunua gesi hakikisha unapima tena kwenye mzani wa digital.Kwanini mzani wa digital ?kwasababu hauibiwi hata point 1,ununuaji wa gesi upo wa mtungi mdogo 6kg, mtungi wa kati 15kg na mkubwa 38kg.Kwahiyo unaponunua mtungi mdogo...
  12. kabuya

    JamiiForums Tanzania Hifadhi ya Selous ina utajiri wa madini unaoweza kuwaondoa Watanzania kwenye ufukara na umaskini

    Kaka huo ni ubeshi au utapeli watu wamepigwa sana pesa hasa maeneo ya Tanga na huo utapeli wa hazina ya mjerumani, W
  13. kabuya

    JamiiForums Tanzania Dharau za Tundu Lissu kwa sisi Watanzania

    Kwahiyo ww unashauri nn kifanyike?
  14. kabuya

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kwa hakimu wa wilaya kutumia gari la mahakama kwenda kuwindia?

    Sasa hv Lipo garage Na gharama zake ndio kama nilivyoeleza hapo juu
  15. kabuya

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sahihi kwa hakimu wa wilaya kutumia gari la mahakama kwenda kuwindia?

    Picha zinakuja za kutosha za gar likiwa porin kwenye kuwinda. Gar lililo pata ajali limekaa sana polis
Back
Top Bottom