Recent content by Kabulala

  1. Kabulala

    Madaraka ni dhamana ya muda mfupi sana, kutoka kupigiwa magoti hadi kusindikizwa nje ya Ikulu

    Sidhani kama anarudi Kwenye mitaa wanapoishi wazambia walio wengi
  2. Kabulala

    Rais Samia: Timu ya Olimpiki ya Tanzania ina Viongozi wengi kuliko wachezaji

    Hivi Rais wa Tanzania kwenye safari zake za nje ya nchi uwa anaambatana na watu wa sekta mbali mbali kama vile wajasiriamali wadogo wadogo ili wakapate exposure na kutafuta fursa!? Au ni government officials tuu ndio wanaruhusiwa?
  3. Kabulala

    Rais Samia kwenda Malawi kuhudhuria mkutano wa 41 wa Wakuu wa nchi SADC

    Watu wa pwani wakipata nafasi au fursa lazima wajiburudishe wao na mashoga zao..it is a good style in a way.. tatizo naona hapa watu wengi wanahofia Kodi zao..Ila Malawi kule lazima aende..pia msisahau, yeye ndio amekua akituwakirisha tangia 2015...naona Mambo magumu ya Magu kawaachia akina...
  4. Kabulala

    Naweza kuwashitaki CRDB ili walipe fidia kwa usumbufu na kadhia?

    Leo nimeenda Bank kuchukua pesa ambazo kabla sijaanza kuwapatia wanihifadhie tulipeana masharti. Cha kushangaza Leo nimeenda branches mbili zote walinzi wao (ambao hawakuwepo wakati nawekeana makubaliano na bank kuhusu vigezo na masharti) wakanizuia kuingia ndani kuchukua pesa zangu Kwa kigezo...
  5. Kabulala

    CCM yasimamisha uchapishaji wa gazeti la Uhuru kwa siku 7 na kuwasimamisha Watendaji Wakuu watatu

    Kakitia chama hasara, hizo sales za week nzima Nani atazigharamikia, after all,keshasimamisha viongozi wahusika, kwanini ademke kufanya maamuzi yasiyo na tija Kwa chama, hivi akitokea mama hadharani akasema hatogombea.. itakuaje!?
  6. Kabulala

    Taarifa: Rais Samia Arejea Jijini Dodoma leo Agosti 08, 2021

    Ila ni hulka ya watu wa pwani..mnapenda Sana kutembea/kusafiri..
  7. Kabulala

    John Heche anafaa kuwa Katibu Mkuu CHADEMA Taifa, John Mnyika ni dhaifu sana

    Nadhani polisi itakuwepo ata miaka 200 ijayo labda jeshi Hilo litungiwe Sheria ya kufutwa na Bunge la JMT lenye wabunge Zaid ya 90% wa CCM
  8. Kabulala

    Kwenye hili la Mbowe, vyombo vya Dola mmeitwisha zigo Serikali. Hivi hamjui nini?

    Nashangaa kwanini mpaka SASA hao wanachama 11m wamekaa kimya na Chairman anasota .
  9. Kabulala

    Nani kuziba pengo la Elias Kwandikwa?

    Bashiru vipi!?
  10. Kabulala

    Nani kuziba pengo la Elias Kwandikwa?

    Too bad hakuwa na scandals..katika siasa hutakiwi kuwa clean Sana.
  11. Kabulala

    Mafyongo Ikulu: Wakurugenzi wawili wameteuliwa sehemu mbili tofauti

    Huyo wa misungwi na geita anaweza akamudu. Ninayemhurumia ni Yule aliyepewa kasulu na huko njombe... atakua Anaishi kwenye V8😂
  12. Kabulala

    Polisi "wame-underestimate impact" ya kumtuhumu Mbowe kwa makosa ya ugaidi?

    the basis of all the definitions given by scholars all over the world and. -the real issues involved in terrorism , terrorism could be defined here as an act or threat of an act of tactical violence by a group of trained individuals, having international linkage, to achieve political objective.
  13. Kabulala

    Kongamano la Katiba Mpya Liendelee: Mnyika achukue nafasi ya Mbowe

    Pia protocol haimruhusu...Makamu Mwenyekiti ndio KAZI zake hizi
Back
Top Bottom