Haya maigizo hayana mvuto
Haya maigizo hayana mvuto
Mambo shagalabagala
Kakitia chama hasara, hizo sales za week nzima Nani atazigharamikia, after all,keshasimamisha viongozi wahusika, kwanini ademke kufanya maamuzi yasiyo na tija Kwa chama, hivi akitokea mama hadharani akasema hatogombea.. itakuaje!?Movie za kihindi!
Kwanza mjiulize hayo mamlaka kayapata wapi?
Labda aseme wameamua kusitisha uchapishaji kwa muda wao kama wamiliki na sio kulifungia unless atuambie amelifungia kwa kutumia sheria na kwa mamlaka gani aliyonayo.
Maagizo ya kitoto kabisa .Haya maigizo hayana mvuto
Uhuru ni gazeti la chama na yeye ni mtendaji mkuu wa chama hivyo ana mamlaka kamili ya kusitisha uzalishwa wa gazeti ambalo lipo chini ya utendaji wake.Katibu mkuu CCM alifungia Uhuru?
Kwani wale wanaowafungia mwanahalisi,raia mwema na mwananchi wait wanasemaje?Menyewe kwa menyewe wallahi.
Kwani waziri mwenye dhamana kasema je?
Kama hivyo aisimamisha na timu bambika bambika.Uhuru ni gazeti la chama na yeye ni mtendaji mkuu wa chama hivyo ana mamlaka kamili ya kusitisha uzalishwa wa gazeti ambalo lipo chini ya utendaji wake.
Ukisitisha uchapishaji kwa siku saba na ukalifungia kwa siku saba kuna tofauti sio...Hata Kama Wao hawana Mamlaka ya kulifungia Bali Wana Mamlaka ya Kusitisha Uchapishaji Tu
Akisitisha uchapishaji na akalifungia kuchapisha tofauti ni nini?Si sahihi Katibu Mkuu wa CCM kusema amelifungia gazeti bali aseme ameagiza usitishwaji wa uchapishaji/uzalishaji wa gazeti hilo.
Yupo Waziri mwenye dhamana na magazeti ndiye angetoa tamko kama gazeti hilo limekiuka misingi ya kusajiliwa kwake!..
Yaani unachosema ni kuwa mgahawa wako ukigundua wahudumu ni wachafu usisitishe huduma kwa siku kadhaa kusafisha ili watu wasipate kipindupindu subiri mpaka bibi afya aje aufunge maana ndo mwenye mamlaka na anajua kanuni na sheria za migahawa.Hana haki ya kufungia gazet kwa sababu Ya kukiuka sheria za uchapishaji na utoaji wa taarifa.
Gazet ni la ccm lakini linapotoa taarifa kinyume na utaratibu linapaswa kuadhibiwa kulingana na sheria ya vyombo vya habari na mamlaka ya habari iliopo chini ya waziri wa habari.
Hii ni kuingilia kazi za mamlaka zingine, kwahio na magazet mengine yakichapisha habari mbaya wajipe adhabu wenyewe? Kama ndivyo waseme ndio ili tujue.
Kwa kuchapisha taarifa ya uongo Je! Kama kuna faini watalitoza hilo gazeti faini?
Wasilete drama waachie mamlaka kaxi yake wao ndo wanajua kanuni na sheria zote za uendshaji wa vyombo vya habari.
Hata hivyo limeuzika sana leo kuliko gazet lingine lolote na limeisha mapema sana.
Walisitishe/walifunge milele kwani halina mchango chanya kwa tz.Ukisitisha uchapishaji kwa siku saba na ukalifungia kwa siku saba kuna tofauti sio...
Kwa Katiba ipi? Ebu acheni huu ujinga...lakini pia tayari wameisha fanya nilicho elekeza au kushauri.. Mengine baki nayo weweKatibu mkuu wa CCM ni zaidi ya hao mawaziri kwa power za kimaamuzi
Tatizo ni ili...kulinganisha vitu bila kujua na sababu yake ni elimu duni...Aya sasa pingana na maamuzi ya Serikali ambayo nimesema ndiyo sahihiWewe ukimuambia dereva wako apaki gari lako Kwa Siku saba ataweza kukuuliza wewe ni trafiki polisi?
Tofautisha kufungia na kusitisha kutoa huduma.Yaani unachosema ni kuwa mgahawa wako ukigundua wahudumu ni wachafu usisitishe huduma kwa siku kadhaa kusafisha ili watu wasipate kipindupindu subiri mpaka bibi afya aje aufunge maana ndo mwenye mamlaka na anajua kanuni na sheria za migahawa.
Ukifungia na ukasitisha kutoa huduma tofauti ni nn?Tofautisha kufungia na kusitisha kutoa huduma.
Kwahio champion nao wakipotosha wakipe adhabu wenyewe?
Kwani mmiliki wajibu na mamlaka yake ni ipi kwa chombo kinachotekeleza majukumu kisheria,au hao wamekiuka sheria ipi,au mmiliki amejigeuza hakimu wa kujitegemea.Ukifungia na ukasitisha kutoa huduma tofauti ni nn?
Champion watendaji wakileta habari ambazo mwenye gazeti hazitaki akasitisha huduma kuna tatizo?
Mmiliki sheria inamruhusu kuadhibu ofisi yake kwa namna inayofaa bila kuvunja sheria za nchi.Kwani mmiliki wajibu na mamlaka yake ni ipi kwa chombo kinachotekeleza majukumu kisheria,au hao wamekiuka sheria ipi,au mmiliki amejigeuza hakimu wa kujitegemea.