Recent content by Kabuche1977

  1. Kabuche1977

    Tundu Lissu anatembelea Makaburi ya wale anaowaenzi , hana muda na Makaburi ya waliopanga Kumuua

    Aliyetuma watu anahangaika na kaburi...bora mlemavu anadunda kuliko mwingine ambaye amefutwa milele
  2. Kabuche1977

    Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

    Bro lakini si unamjua Pascali Mayala....sijajúa anamaanisha nini,ila rubbish is rubbish,it doesn't matter una PhD au wewe ni Prof
  3. Kabuche1977

    DPP awafutia Tundu Lissu na Wahariri wa Gazeti la Mawio kesi ya Uchochezi

    Sasa kwa nini waandike kwa kingereza wakati wanajua kabisa askari wengi wameishia form 4 au la saba....wataelewa vipi hicho kimombo?
  4. Kabuche1977

    Askofu Mkuu wa KKKT, Dkt. Fredrick Shoo amtembelea Freeman Mbowe gereza la Ukonga

    Ukiwa pimbi ni pimbi mpaka kwenye moyo wako. Wewe jamaa nakubariki jina la upimbi, umeongea upimbi mtupu
  5. Kabuche1977

    Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

    Acha ujinga na ubinafsi wewe, pigania nchi yako acha kupigania tumbo lako. Watu kama nyie mnatupa taabu sana kwenye hii nchiha
  6. Kabuche1977

    Wakili Msomi Peter Kibatala amhakikishia kumpigania Mwanachadema aliyekamatwa Kisutu, aahidi kumtoa selo

    Acha upuuzi wewe, mwanaume gani unaogopa hata kwenda kituo cha polisi?
  7. Kabuche1977

    Yaliyojiri Kisutu, Dar: Kesi ya Freeman Mbowe, yaahirishwa hadi 13 Agosti, 2021, Mashtaka yasomwa upya

    Acha ujinga na ubinafsi wewe, pigania nchi yako acha kupigania tumbo lako. Watu kama nyie mnatupa taabu sana kwenye hii nchi
  8. Kabuche1977

    IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

    Hawezi kosa kadi ya kijani. Na hii hutokea Tanzania tu. Akiongea utafikiri ana akili kumbe anatumia makalio tu
  9. Kabuche1977

    Uhamiaji Tanzania, lisaidieni Taifa kuhusu Yusuf Manji. Ni raia wa Tanzania au Marekani?

    Hueleweki hata kidogo, sio kalamu ya Great thinker hata kidogo. Utaifa hupewa na Mungu,achana na hizo pasi za kusafiria, hizo watu wanachukua kwa ajili ya kusafiria tu.
  10. Kabuche1977

    Dkt. Allan Kijazi, Katibu Mkuu Maliasili na Utalii na DG TANAPA - Confusion

    Kwanza huu ni upuuzi, mtu anakuaje na vyeo viwili kwenye wizara moja. Mimi sijawahi ona kabisa. Kwani hakuna watu wengine wenye uwezo wa kazi ya DG? Hii nchi ya viwonder kweli kweli
  11. Kabuche1977

    Wabunge wataka Condester Sichwale aliyetolewa nje kisa mavazi aombwe radhi

    Mwendazake alijipambanua kama mzalendo, lakini kwa maoni yangu mimi naona hakuwa Mzalendo, ila alikuwa na ajenda yake ambayo alitaka kuipitisha kupitia neno la uzalendo.
  12. Kabuche1977

    Ole Sabaya nakuhurumia, hukumjua Mbowe ni nani?

    Sio ishu ya kusimamishwa, mama katumia neno laini kuwa anasimamishwa, huyo kafukuzwa, make tayari Wilaya imepata DC mpya.
Back
Top Bottom