Iko online KWA kiswahili na kimalkiaHivi tunapataje PGO maana naona ni msaada sana huko tuendako, mwenye nayo aweke nakala hapa plz!!!
Kesi za kubambika ni ngumu kuupata ushahidiAu ni Mashahidi wamesepa? Hata Hawa wa kesi ya ugaidi sidhani Kama watajitokeza wote kwa mwenendo wa kesi unavyoonekana.
Ona ulivyo mpuuzi, DPP sio Individual acha ushamba wakoSasa lissu mda mwingine awe na akili kidogo mana Dpp huyu mpya km haijui kesi vizuri aendelee nayo ili alishindwa upate credit wewe hujui anaweza kurudisha
Mimi nafikiri wajitafakari wanaompa kesi hatimaye wanazifutaMtu ukiwa na makesi kama Lissu lazima ujitafakari kuwa una shida sehemu haiwezekani usingiziwe wewe tu au uonewe wewe tu Lissu angekuwa mtulivu ni kiongozi mzuri lakini atashangaa taaluma yake na uwezo wake kiuongozi hautumii anabaki kushindana na makesi kila siku
"hundreds more still face our members, including Chairman Mbowe."Baada ya kutusumbua kwa miaka 5 kwa kesi ya uongo ya uchochezi, DPP ameifuta kesi hiyo. Lakini bado kuna kesi nyingine 5 za uongo dhidi yangu & mamia nyingine dhidi ya viongozi, wanachama & Mwenyekiti wetu Freeman Mbowe. Zote hizo zinatakiwa kufutwa bila masharti yoyote- Tundu Lissu...
Umekuja na id nyingine broMtu ukiwa na makesi kama Lissu lazima ujitafakari kuwa una shida sehemu haiwezekani usingiziwe wewe tu au uonewe wewe tu Lissu angekuwa mtulivu ni kiongozi mzuri lakini atashangaa taaluma yake na uwezo wake kiuongozi hautumii anabaki kushindana na makesi kila siku
Wewe utakuwa sperm na sio zygot"hundreds more still face our members, including Chairman Mbowe."
English mbovu huku akijigamba uelevu.
Hiyo ni english au kinyiramba kwa maneno ya kiingereza?Wewe utakuwa sperm na sio zygot
Sasa kwa nini waandike kwa kingereza wakati wanajua kabisa askari wengi wameishia form 4 au la saba....wataelewa vipi hicho kimombo?Yap entire book iko kwa kingereza.
Pumbavu zako rafiki yangu wewe, waje kufanya nini kwenye maviNi jambo jema!
Tundu Lisu na familia yake warudi nyumbani sasa!
swali zuri sanaHiyo kesi ndio ilimkimbiza? Au ni kwasababu mlitaka kumuua?
Hakuna cha shida,ila nimopambanaji dhidi ya wale wasio penda haki na wavambikiaji wote.Mtu ukiwa na makesi kama Lissu lazima ujitafakari kuwa una shida sehemu haiwezekani usingiziwe wewe tu au uonewe wewe tu Lissu angekuwa mtulivu ni kiongozi mzuri lakini atashangaa taaluma yake na uwezo wake kiuongozi hautumii anabaki kushindana na makesi kila siku
Huwa napata image ya wewe kama mtu makini, reasonable, muona ukweli, not partisan... and the like, Kumbe na wewe ni wale wale wa 8million with three ideas!Chadema haina nguvu and blah blah blah
Kuleni mafi yenu
Hii nchi mtake msitake lazima muiendeshe kwa kutulia with sober minds!
hopefully watazifuta zote siku ya mention ikifika. Mwanza mwema to me ingawa bado njia ndefuAna kesi zaidi ya 5. Hiyo ni 1. Wanatakiwa kufuta zote, maana zilikuwa za kijinga, zenye lengo la kuwafanyiamental torturena usumbufu.
Hii 1 imefutwa ili mamy apate chakusema kwa wastaarabu Duniani kuwa na yeye ameanza kustaarabika.
Ndo tunapokwama hapo, kwa kudhani Mabeberu wanaweza kuwa na msaada wowote kwetu! Nikukumbushe tu kwamba huko Rwanda juzi tu hapa kuna mtu kala mvua kadhaa kwa kesi ya kipumbavu kabisa! Sijui hao mabeberu walikuwa wapi!!! Na hakika tutaweza kuwatoa CCM madarakani a moment tutakapofahamu kwamba hawa mabeberu hawana msaada wowote! Hao mabeberyu wangekuwa wanatujali sana, kusingekuwa na mambo ya ovyo kwenye siasa za Afrika lakini leo hii ni pande ipi ya Afrika tunaweza kusema utawala unafanya siasa mzuri dhidi ya wapinzani, na jamii kwa jumla?Itakuwa ni mbinyo wa mabeberu!
Pascal Mayalla , ashukumu si matusi rafiki, mfano mtu akuchukulie mke wako (samahani natoa mfano kwa kitu kinachoumiza nafsi ya watu wote duniani), kwa vile ana maguvu na madaraka, then anamrudisha, utampa /au utamshukuru kwa kukurudishia mke wako? (Labda kwa vile huyu hakuwa DPP wakati haya yanatokea kwa muktadha huo anaweza toa shukrani, sijui )Unapotendewa jambo jema, ustaarabu ni kushukuru kwa yote hata kama ulionewa. Natoa wito kwa Tundu Lissu, amshukuru sana Mama Samia
Ila pia sitashangaa iwapo shukrani haitatolewa kwasababu baadhi ya wenzetu hawana shukrani.
P
Post of the week, nakubaliana na wewe 100% umenena vemaNdo tunapokwama hapo, kwa kudhani Mabeberu wanaweza kuwa na msaada wowote kwetu! Nikukumbushe tu kwamba huko Rwanda juzi tu hapa kuna mtu kala mvua kadhaa kwa kesi ya kipumbavu kabisa! Sijui hao mabeberu walikuwa wapi!!! Na hakika tutaweza kuwatoa CCM madarakani a moment tutakapofahamu kwamba hawa mabeberu hawana msaada wowote! Hao mabeberyu wangekuwa wanatujali sana, kusingekuwa na mambo ya ovyo kwenye siasa za Afrika lakini leo hii ni pande ipi ya Afrika tunaweza kusema utawala unafanya siasa mzuri dhidi ya wapinzani, na jamii kwa jumla?
Siku ile Kama wakumbuka ,tulipokua foleni pale milembeHii ndio tunaita maamuma kupunch above the weighr
When was the last time umefanya mental health checkup?