Wakuu naomba kurekebisha hapo hii sheria sio ya NSSF pekee bali ni ya mifuko ya jamii so PPF,PSPF,LAPF na mingineyo huu kweli ni uthibitisho wa viongozi wetu kufilisika fikra....
Mfamaji you are very right Tanzania mambo mengi zimamoto na huwa hatufanyi research ya kutosha hizi barabara zilizopo tu zenyewe kuzitunza zimetushinda lami zina vishimo,lami zina mawimbi ila watu wanataka kujenga za juu kwa juu....simple let's do the basics first barabara ziwe katika hali nzuri...
Kwa kweli hali ni mbaya sana hapa Tanzania haswa jiji la Dar tofauti na miaka ya nyuma watu wameuanza mwaka mpya jana lakini tayari wameshachoka hawana matumaini wapo wapo tu ndugu watanzania wenzangu tufanye nini ili hali viongozi wetu ndo hao kama vile wanaishi mwezini....:embarassed2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.