Uko sahihi. fuatisha nafsi yako inavyokuambia. hata hivyo Mungu hakutuumba tule nyama. Tulianza kula nyama kwa tamaa zetu na dhambi zetu. Mungu alituumba tule matunda na mbogamboga ........ waroho wa nyama watakuja nishambulia niko tayari..... Wewe kula aina zooote za mboga mboga na utaenjoy...
Shida ya kutoelewa unachosoma. kustaafu ni kupumzika hutafanya kazi kama ulivyokuwa mwanzoni, hutaamka na kukimbizana kama mwanzo, hutashinda kazini kama mwanzo.
Utapita kukusanya maokoto ina maana utakwenda kwenye shughuli zako ila si kwa ubize kama zamani, ni kama kusimamia na kuangalia tu...
Maana ya kustaafu ni kupumzika baada ya kufanya kazi kwa miaka yako 60 na kuchoka kimwili na akili. Sitarajii eti mtu anasaafu halafu aendelee na kufuga ua kulima au kufanya biashara. Ukistaafu unatakiwa kupumzika warume! kwa maana hiyo jiwekee sasa vituo vya kukusanya pesa ukishastaafu...
mmmh kwa maana hiyo kutakuwa na kazi ya kupika na kupakua, kula na inyaaa, vyoo vitajaaa, takataka zitazalishwa. nani wa kupikia wengine? kuosha na vyombo vyaoooo.... uwiiiii kuoana tenaaaa:D:D:D basi mngebaki tu hapa hapa dunuani hakusa sababu ya kufariki
Hapo sio kuleta mvuto. Hapo ni ushirikina wa kuwapumbaza watu wasiende kwingine waje hapo bila kujali ubora wa bidhaa hata kama bidhaa zitakuwa zimeoza/zimepitwa na wakati kama hao samaki. huo ni ushirikina.
Wanaume hawajui wanataka mwanamke wa aina gani.. Akiwa mama wa nyumbani tegemezi wanasema ni mzigo hawamtaki tena. Akiwa mfanyakazi mwenye kipato chake pia hawamtaki ni malaya maana mawazo yao wanawake wanatoa unyumba maofisini. Kila upande una hasara na faida zake. Maisha hayana formula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.