Ndugu wana Jf nataman tujuzane kwa wale wanaojua ufanyikaji wa biashara hii kwan kumekua na wimbi kubwa la watu kusema kama gar umeichoka bora ukaikate sasa sisi wa mikoan tunashindwa kuelewa.
Boss nina runx tangu cc1500 ukiiwasha wakati imepoa kuna mliounatoka wa kugongq kwenye engines na oili ikishapanda ukazima gar na kuwasha tena huo.mlio unakua haupo sasa kunafund kaniambia engine imechoka kwahyo nibadil kununua ingine lakin mwingine anasema nibadili slepper,timing chain na...
Samahan ndg zangun. Nina gari yangu aina ya runx inamis. Nmepeleka kwa fund kaniambia plug ziko poa pamoja na sehemu nyingine anasema ziko poa ila tatizo gari inamis ndugu zangu ntatatuaje hili tatizo mshale wa rmp uko juu ya moja na nnaambiwa ina bid ushuke chini ya moja tatizo linaweza kuwa...
Samahan.mkuu gari yangu aina ya runx inamis. Nmepeleka kwa fund kaniambia plug ziko poa pamoja na sehemu nyingine anasema ziko poa ila tatizo gari inamis ndugu zangu ntatatuaje hili tatizo mshale wa rmp uko juu ya moja na nnaambiwa ina bid ushuke chini ya moja tatizo linaweza kuwa wap ndugu zangu?
Samahan.mkuu gari yangu aina ya runx inamis. Nmepeleka kwa fund kaniambia plug ziko poa pamoja na sehemu nyingine anasema ziko poa ila tatizo gari inamis ndugu zangu ntatatuaje hili tatizo
Najua bado unaakili za kushikiwa bwana mdogo sasa kama ww una akili sana, ndugu yako akifanya uhalifu akapelekwa kituoni nenda kawafanyie vurugu uone bajeti ya virungu inavyofanya kazi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.