Recent content by kabila01

  1. kabila01

    DOKEZO Responded Urasimu na umungu watu ndani ya PSSSF - Dodoma ni kidonda kilichokosa dawa

    Naona wanatengeneza mazingira ya kuwapa kitu ili walipe mapema. Wale watu wana mishahara mikubwa na marupurupu mengi kukwambia njoo mwezi mmoja wao wanaona kama ni kesho tu maana hawana njaa. Lakini kwa mtu asiye na kazi mweZ mmoja ni kama mwaka
  2. kabila01

    DOKEZO Responded Urasimu na umungu watu ndani ya PSSSF - Dodoma ni kidonda kilichokosa dawa

    Katika maeneo ambayo ukitaka kuona watanzania wanateseka kama wapo jehanamu ni katika hii mifuko ya Hifadhi ya jamii. NSSF na PSSSF usiombe uwe unafuatilia madai huko. Njoo kesho, njoo wiki ijayo nyingi sana. Unaweza ambiwa njoo baada ya wiki mbili mhusika yupo Training. Unaweza kwenda kila siku...
  3. kabila01

    Hizi ndizo top ten taasisi private sector zinazolipa vizuri

    Unafanya kazi huko au kwakua unayaona magari yao yanapiga misele mjini na vijijini? Siri wanaijua wanaofanya kazi huko na kamwe hawawezi kukuambia ukweli
  4. kabila01

    Ijue mikoa 12 inayochangia zaidi mapato ya kodi kupitia TRA Tanzania Bara

    Ukiangalia mikoa mingi kwenye hiyo list ina boarder zilizochangamka sana pia kilimanjaro na ishu ya utalii tofauti na Mwanza
  5. kabila01

    Nawashauri Viongozi wapya wa CCM kufuatilia kwa kina miradi inayotekelezwa na Serikali katika kuzuia Ufisadi na Rushwa

    Kiongozi kapita kwa rushwa then unamwambia akadhibiti rushwa haya ni maajabu. Hapo unawapa dili za Rushwa wakapige pamoja na serikali
  6. kabila01

    UCHAGUZI UVCCM: Kawaida kutoka Zanzibar Mwenyekiti Mpya wa UVCCM Taifa, Rehema Sombi Makamu Mwenyekiti Taifa

    ujinga mtupu watu milion 1 sawa na wilaya ya Kigamboni ndani yake wana Raisi, makamu wawili wa Raisi, mawaziri, manaibu mawaziri, makatibu wa wizara, wakuu wa mikoa, wilaya, wakuu wa polisi mkoa, wilaya yaani basi hata mkoa wa Dar nao uwe nchi
  7. kabila01

    Mara nyingine tena timu zetu za Afrika zinaenda kutuangusha Kombe la Dunia

    Inapocheza Taifa starts hua naona kama timu ya Ndondo cup inacheza hua sina mzuka kabisa wa kufuatilia
  8. kabila01

    Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

    unapoanza kuongea nae tu uwe na 25 ya lodge, 10 ya kumuachia, 10 ya kula na 5 maji ya kunywa. hii ni minimum. sasa huna kitu unaanza kusomesha akikukubalia unafanyaje?
  9. kabila01

    Hii staili ya udangaji alionionesha huyu mdada, sijawahi iona toka nizaliwe

    Kama huna elf 50+ mfukoni usimsimamishe demu utakua unapoteza muda tu
  10. kabila01

    Rais Kwanini Waziri Mkuu na Viongozi Wengine Wanakudanganya kila siku?

    Tuliambiwa upatikanaji wa maji jiji la Dar umerudi kwa asilimia 94
  11. kabila01

    Uchafu wa uchaguzi uliotajwa kufanyika CCM, huu ndio mfano mmoja wapo (video)

    Bila pesa ndani ya CCM hupati uwongozi wa aina yeyote
  12. kabila01

    Ukistaajabu ya CCM Mkoa wa Simiyu angalia uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro

    Sidhani kama kuna Kiongozi wa CCM aliyeshinda bila kutoa Rushwa
  13. kabila01

    Mawaziri waliotia fora kumuangusha Rais Samia 2022 hawa hapa

    Wanasiasa wanaharibu sana hii nchi. unavyovisikia jukwaani ni tofauti kabisa na hali ilivyo katika ground. wakiwa kwenye vikao kuanzia ngazi za wilaya mpaka Taifa unaweza dhani inchi inasonga mbele kwa speed kubwa sana kumbe ni tofauti. katika vikao tunasifiana na kuogopa kusema ukweli kwakua...
Back
Top Bottom