I swear to almighty God!
Nilianza utumishi seriklini 2003 nikiwa Polisi, afu 2010 - 2018 Afisa Takwimu lkn kote huko pamoja na fedha za mshahara wangu kukatwa NHIF lkn sikuwahi chukua hata tembe ya Panaldo.
I was only challenging - shida za upatikanaji matibabu nazijua vzr. Sasa tufanyeje?
Team,
Salaam!
Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022 inaonesha Tanzania ina kaya 14,152,803. Sasa kama tungekuwa na bei ya kununua mtungi wa gesi wa 10kgm kwa tzs 2,000 kama ilivyo nchini Cuba basi kaya zote hapa nchini tungetumia tzs 28,305,606,000/=.
Sasa kwa kuwa na gesi inayouzwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.