Recent content by Kabende Msakila

  1. Kabende Msakila

    Mara : Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yanayoongozwa na Freeman Mbowe

    Endeleeni kubobea nasi tuendelee kuongoza nchi
  2. Kabende Msakila

    Ukitenguliwa tulia, kila jambo lina wakati wake

    Nachukia tu watu wakitumbuliwa au kutenguliwa hubadilika kuwa swira
  3. Kabende Msakila

    Ukitenguliwa tulia, kila jambo lina wakati wake

    Amesikia Ujumbe huu utamjenga kama ana innate quality ya kutosha. Over
  4. Kabende Msakila

    Ukitenguliwa tulia, kila jambo lina wakati wake

    Sijawahigi!! Nimetulia kbs
  5. Kabende Msakila

    Ukitenguliwa tulia, kila jambo lina wakati wake

    Wakulima jua likiwa jingi Julia, Wafanyabiashara - magari huanguka, maduka huwaka Moto, meli huzama nk Kwa maana nyingine ni kuwa changamoto zipo kila sekta.
  6. Kabende Msakila

    Ukitenguliwa tulia, kila jambo lina wakati wake

    Unapotenguliwa fahamu kuwa ni muda uliotimia wewe kuwa mtumishi. Fikiri mengi lakini zungumza machache, Sikiliza wengi lakini jibu wachache, Andika mengi lakini ya ibada na shukurani,
  7. Kabende Msakila

    Hii ndio hali ya Bumbuli ambayo Mbunge wake ni Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi

    Asante 2025 iko karibu nenda kagombee ubunge, kisha ukipata utengeneze barabara za jimbo lako
  8. Kabende Msakila

    Hii ndio hali ya Bumbuli ambayo Mbunge wake ni Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi

    Kwa hiyo mbunge akichaguliwa ndyo anakuwa na magreda ya kuchonga na kuweka lami barabarani?
  9. Kabende Msakila

    Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka ashambuliwa kwa risasi na Watu wasiojulikana

    Ila sasa why hawajanunua magari yasiyopitisha risasi? Mbn yanauzwa bei ndogo tu. Afu walengaji ni dhaifu Lissu ziligoma, Sendeka zimegoma
  10. Kabende Msakila

    Paul Makonda adaiwa kumtishia Maisha Salaah wa GSM. Polisi waogopa kumchukulia hatua Makonda

    Siyo sahihi, CDM acheni kuchafua image ya mwenezi wetu
  11. Kabende Msakila

    Mnyika: Mapambano yamewezesha Faye kushinda Uchaguzi wa Rais Senegal, November 2023 nilikuwa Senegal kusaidia Harakati za Upinzani!

    Mara 1000 ushindi akapewa ACT na siyo CDM. Binadamu anayepinga kila jambo (barabara anaziona na kutembelea lkn anapinga, umeme anapinga, mikopo elimu ya juu anapinga,)..... CDM siyo chama cha kupewa hati ya ushindi
  12. Kabende Msakila

    Watanzania tumpe zawadi gani Jesca Magufuli?

    Kwani mfumo unaruhusu MTU kureseat? Mwenye nacho huongezewa - lkn huyu binti yuko bright sana.
  13. Kabende Msakila

    2025 CCM haitapoteza jimbo hata moja, CHADEMA tulieni

    Another level afu sina malengo makuuubwa kama nyumbu wa CDM
Back
Top Bottom