Kunahitajika nguvu ya ziada ya kupambana na Madam Supika, Hiki ni kipindi cha kuchota, tunahitaji umoja na uzalendo ukiongozwa na CDM tuweze kudhibiti hii hali. Makinda must go no way, Zito pambana, pelekeni mashtaka kwa umma
Baba askofu umeenda mbele ya haki siku moja na askofu Thomas Laizer, Arusha na Moshi tunalia, Msarikie utakumbukwa kwa juhudi zako za kuleta maendeleo jimboni Moshi!!
Kanda ya Kaskazini ni kilio kwa wakristo wa Katoliki na KKKT, Amedeus Msarikie asubuhi, Thomas Laizer jioni.
Wana heri wale waliolala katika bwana, Wamevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo wameumaliza imani wameilinda!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.