Kumekuwa na dhana mbaya Sana miongoni mwa wasomi Wa Leo hasa hawa waliopo vyuo vikuu, wengi wao wanaamini kuwa unapo kuwa mwana chama Wa chama cha mapinduzi (CCM) basi inaonekana wewe elimu haijakukomboa au hujaelimika kabisa ila unapokuwa upande Wa Pili basi wewe utaonekana msomi Wa kimataifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.