Recent content by Kabalega_tz

  1. K

    Mbele giza ajira za ualimu

    Hatimae yametimia sasa! Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Hii ni fikra finyu sana kwa wasomi wa leo kwamba ukiwa mwanaccm basi elimu haijakukomboa

    [emoji119] comment yako watajifanya hawaioni maana umewashika penyewe.
  3. K

    Poleni CCM, kwa hili la Mbowe kuachia Uenyeketi wa Chama mumekwama

    Hivi si ndo nyinyi ambao kutwa kucha mnajinadi ni wana demokrasia? Upuuzi mtupu CCM DAIMA
  4. K

    Hii ni fikra finyu sana kwa wasomi wa leo kwamba ukiwa mwanaccm basi elimu haijakukomboa

    Kumekuwa na dhana mbaya Sana miongoni mwa wasomi Wa Leo hasa hawa waliopo vyuo vikuu, wengi wao wanaamini kuwa unapo kuwa mwana chama Wa chama cha mapinduzi (CCM) basi inaonekana wewe elimu haijakukomboa au hujaelimika kabisa ila unapokuwa upande Wa Pili basi wewe utaonekana msomi Wa kimataifa...
  5. K

    Panapo Fuka Moshi, Kuna Moto. Chadema Mbona Mnatapatapa Na Uenyekiti Wa Mbowe

    [emoji3][emoji3][emoji3] nacheka kimoyo moyo ,ukiwa chadema akili zako anazishikilia mbowe ,wenye akili wanakimbia.
Back
Top Bottom