Mbeleni hakueleweki kwa staili hii, Maana kamchezo haka nakaona kanakuja kwa kasi katika mataifa yetu haya, yakuuhofisha umma kuwa pasipo flani nchi haindi kwan kabla yake Taifa lilikuwaje?
Hatua yakubadilishana vituo mpaka sasa ndiyo njia pekee yakusaidiana ndugu watumishi wenzangu. Hii nikwamujibu wa s/kali yetu. Hivyo basi tusaidiane inapobidi! Elimu sekondari njoo Kagera- misenyi nije Ilemela/Nyamagana-Mwanza. nakuombeni saana atakayekuwa tiyari nitafute 0763275320. Ahsanteni...
SOKO LA KILOLELI, MAZINGIRA YAPI?
Makala hii imewekwa katika ukurasa wangu wa fb! lengo namakusudio nikutaka kuwepo uelewa mpana nakuondoa mawazo yanayotengeneza kukwamisha maendeleo yaeneo husika. Nafahamu kila mmoja hasa kwa wakazi wa Mwanza eneo hili lipo wilaya ya Ilemela-Mwanza ni eneo...
Mnh! Yamungu mengi, Hivi vyama vyenyewe ni matawi yake, hatunashaka kuwa nimaigizo ya mjini. Hivi vyama vya wafanyakazi kazi yake nn? Mkoba tumikia watu siyo ofisi.
Mnh! Rejeeni maandiko yawaongoze ktk hili. Naamini hakuna andiko linawaruhusu hawa walokole kufanya vile zaidi yakuibua vurugu na fujo. Epuka ushabiki kwenye mada iliyoko wazi.
Kwanza Mungu akulipe kwa Elimu ulotoa kwa jamii yetu hii ya leo. Ila ningependa kuongezea vitu vingi kwa sasa vinavyopunguza nguvu kazi ya Taifa. Mfano mdogo angalia vijiwe vya kucheza kamari leo vimekuwa vingi saana. Leo tuna jambo maarufu kama Kubeti juu ya mipira ya Ulaya, Kuna sijui Jackpot...
Kwa yeyote mwenye taarifa ya chuo cha kilimo na mifugo cha IGABIRO-MULEBA. Basi naomba anipe detail zake kwa wanafunzi wa Cheti(certificate) kwa mwaka huu wanahitajika kuwa na vitu gani? sare zao zikoje? wanafungua lini malipo yakoje kwa awamu ngapi inalipwa nk? Kwa mwenye kufahamu naomba msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.