Habari wana jamii,
mimi ni nina elimu ya kidato cha nne ya 2009, lakini mpaka sasa sijachukua cheti changu, nawezaje kukipata kwa urahisi?
Je, nikienda shule niliyosomea nitakipata?
Habari JF members. Naomba ushauri!
Naitwa Otto Kabagala .
Nimemaliza kidato cha nne tangu 2009 na sijachukua cheti changu maana niliyakasirikia matokeo yangu (Nilipata grade 4 ya 30)
Sasa naona umuhimu wa kuwa na cheti changu, je, Naweza kufanyaje ili nipate cheti changu?
Naombeni msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.