Kabagala
Member
- Sep 2, 2014
- 10
- 15
Habari JF members. Naomba ushauri!
Naitwa Otto Kabagala .
Nimemaliza kidato cha nne tangu 2009 na sijachukua cheti changu maana niliyakasirikia matokeo yangu (Nilipata grade 4 ya 30)
Sasa naona umuhimu wa kuwa na cheti changu, je, Naweza kufanyaje ili nipate cheti changu?
Naombeni msaada wenu wanajamii forums, na Mungu awabarikini!
Naitwa Otto Kabagala .
Nimemaliza kidato cha nne tangu 2009 na sijachukua cheti changu maana niliyakasirikia matokeo yangu (Nilipata grade 4 ya 30)
Sasa naona umuhimu wa kuwa na cheti changu, je, Naweza kufanyaje ili nipate cheti changu?
Naombeni msaada wenu wanajamii forums, na Mungu awabarikini!