Recent content by kababu

  1. kababu

    Kinachoitokea Chadema kwa sasa ni Kuzaliwa Upya Kifalsafa kwa sababu kwa zaidi ya miaka 20 waliishi kwa Kudanganywa na Kudanganyana!

    uwez tabir hali ya siasa kwa miaka mitano ijayo, miezi tuu inashindikana sembuse miaka, ujaona hapa juzi kati hata watabiri walivyokuwa wanatabiri wanavyoenda chaka, siasa upepo wa siasa ubadilika ndani ya mda mfup sana, chadema ya januari si chadema ya april, si chadema august, ccm ya januari...
  2. kababu

    Huu sio ustaarabu . Mnafurahia na kuchekelea mlinzi wa rais kuanguka!

    mbona hamna mtu aliyecheka wala kufurahi, unawazushia watanzania, hakuna mtanzania mwenye roho mbaya, angalia hata comments hakuna aliyekeheli wala kucheka, wew hapo tuu labda. sasa kuna nini cha kucheka hasa hapo
  3. kababu

    PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    be creative, acha kulaza ubongo, njoo nikupe kaz ya kulima maharage machanga, unapewa kila kitu wewe ni kutunza na kuutuuzia,
  4. kababu

    GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu na Dkt. Emmanuel Nchimbi

    kupiga kura ndio watashindwa km umeenda 10 km , kwenda kituon si ndio chap
  5. kababu

    GE2025 Polepole: CCM wanakwenda kwenye Uchaguzi sababu wana uhakika kushinda kwakuwa kuna mifumo inawabeba

    tunapuuza kwa sababu mıfumo yote NIDA, ya kupıga kura, ya ccm, ımewekwa na mtu mmoja ambaye nı serıkalı ya ccm, sasa kusema etı ccm wanajıdukua uwo nı upotoshajı maana hakuna mfumo ambao hauko chını ya serıkalı ya ccm, hıvyo mıfumo yote ımewekwa na wataalam ambap wako chını ya serıkalı ya ccm...
  6. kababu

    GE2025 Sugu: Tumewasamehe Polepole na Gwajima

    wewe nı mungu unahukumu na kusamehe?
  7. kababu

    GE2025 Sugu: Tumewasamehe Polepole na Gwajima

    nyıe mungu, au mnajıfanya waungu watu kuwa watu wakıwa na dhambı wanakuja kuomba msamaha kwenu, bınadamu bwana. etı tuwasamehee fulan, toa kwanzwa borıt lıloko jıchonı kwako kabla ya kuona la mwenzako, mwenye kuhukumu hapa dunıan nı mungu tuu na anaweza kuotoa msamaha nı mungu na sı Sugu
  8. kababu

    inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

    kumkejeli mungu kuwa awez saidia kwenye madiliko kwa kusema mabadiliko hayawezi kutokana na kumwomba mungu
  9. kababu

    inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

    hıvı wakatı anarıpoka ropoka hajuagı kuwa hata mungu apendı kwa kutumıa kınywa alıchopewa vıbaya, hata mungu naye hapendı mtu asıyekuwa na hekıma. unaweza je kusema no reform no electıon haıfanyı kwa kumwomba mungu wakatı huyo mungu ndıo anakupa hıyo pumzı ya kuongea alafu unamkejelı tena
  10. kababu

    Kama Mungu alikuokoa na risasi 30+, hata hili hatakuacha weka Imani kwake kaka yetu

    Mathayo 5:21- Lakini mimi nawaambieni, yeyote anayemkasirikia ndugu yake, lazima ahukumiwe. Anayemdharau ndugu yake atapelekwa mahakamani. Anayemwita ndugu yake: ‘Pumbavu’ atastahili kuingia katika moto wa Jehanamu. “Basi, ukipeleka sadaka yako mbele ya madhabahu na hapo ukakumbuka kwamba ndugu...
  11. kababu

    Kama Mungu alikuokoa na risasi 30+, hata hili hatakuacha weka Imani kwake kaka yetu

    kwanını hmtakı kesı ısıkılızwe, au kuna jambo hapo, subırını tusıkılıze kesı ndıo mjue kaonewa au laa, achenı mahakama ıfanye kazı yake. km ıkıtokea kaonewa hapo ndıo tutatoa lawama, huyu jamaa alımtukana sana mbowe pengıne mdomo wake umetengeneza laana juu yake, Mathayo 5:21- Lakini mimi...
Back
Top Bottom