Recent content by kababu

  1. kababu

    Mwanza: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA

    hii inaashiria watu hawana njaa, una beti, toyo inalaza 50 mpa 100, bajaj inalaza 70 mpaka 100kb, sasa ni kuserebuka tuu,
  2. kababu

    Pigo la mwisho kwa Thadei Ole Mushi: Katoliki wakataa kumzika kwa kuwa aliwapinga TEC kuhusu DPW

    kwa hiyo wewe unasema je labla maana pumzi ikishaachana na mwili, huo mwil hata umtupie mbwa km alikuwa mtu wa mungu haitabadili chochote, kwani mwil ni km kasha tuu halina uhai tena, yaan hata ukizikwa na papa haibadili chochote,
  3. kababu

    Serikali inapambana na Wamasai kutoka Arusha kwenda pwani na Morogoro; hakuna kabila linalopitia magumu haya

    Mbona wachaga wako kila mahali, tatizo ni wao wanakuja na mifugo wanachunga kwenye mazao ya wenyewe na ukimfuata anatoa sime,
  4. kababu

    Tundu Lissu: Mnasema sina Shukrani mnataka nishukuru nini? Hela nilizotumia kujitibu sijalipwa hata senti moja

    urejeshewe za nni, nan anajua hiyo bill yako km ulichangiwa, bima, au unaenda kujitibi ubelgiji kwa ridhaa yako mwenywewe alafu ulete bil ilopwa na nani??
  5. kababu

    Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

    uliziona au wewe ndio ulienda kupekua na baada ya kupekuwa ukazikuta na ukatoa taatifa na ziko wapi sasa hizo ela mpaka mda huu ?
  6. kababu

    Hakuna kifo kiliniumiza kama cha Magufuli

    kwa kutaka bilion 9.9 za dhuluma kwa kutumia mahakama
  7. kababu

    Je, Membe kosa lake kubwa ni kutaka kuwa Rais wakati yeye ni jasusi?

    Musiba kageuka Musiba kweli kweli
  8. kababu

    TANZIA Augustino Mrema, Mwenyekiti wa chama cha TLP afariki dunia

    Huyu ametunzwa sana mpaka akaoa kibinti, yaan mpaka amefariki anakula mshahara
  9. kababu

    Simiyu yavunja rekodi ukusanyaji wa Mapato 2021/22

    Umeelewa nilichoandika au unakurupuka km mchawi, umesoma sababu nilizozitaja,
  10. kababu

    Simiyu yavunja rekodi ukusanyaji wa Mapato 2021/22

    Wewe ndio ujui chochote, wewe unafikiri hizo asilimia 8% ambao ni ongezeko zimetoka mbinguni. Ni makadirio ya makusanya yalikuwa chini kuliko uhalisia au kuna chanzo ambacho hawakukiweka au walia under estatemate (didnot account for). wewe usione watanzania ni wapumbavu sana, yaani upate...
  11. kababu

    Simiyu yavunja rekodi ukusanyaji wa Mapato 2021/22

    Wanajiwekea budget ndogo ukilinganisha na vyanzo vyao vya mapato alafu unasema wavunja record, ni sawa wewe ujiwekee mauzo ya duka lako kwa siku ni 20. Lafu duka lenyewe ualisia mauzo ni elfu hamsini kwa siku , ukipata elfu hamsini unajisemea umevunja records wakati huo ndio ualisia
  12. kababu

    Yaliyojiri Mahakamani kwenye kesi ya Halima Mdee na wenzake kupinga kuvuliwa Uanachama

    Unapambana na nan sasa hapo, yaan unajigeuza mwenyewe kitandani alafu u nasema kuna mtu unapambana naye,
  13. kababu

    CHADEMA waondoa pingamizi dhidi ya maombi ya kina Mdee ya zuio la muda

    Jiwe limerushwa gizani watu wanakimbia kimbia hovio hawaelewi pa kukimbilia, aahahahahahahaaaaa
  14. kababu

    CHADEMA behaves like a novice political party

    Who told you Mr. Zitto fade up, cant see Mr. Zitto is very public figure than b4, he is more hot than even Your chairman,
Back
Top Bottom