Mimi ni kijana wa kiume, na wanasemaga walimwengu kua ujana maji ya moto, nahitaji kujua vitu ambavyo huenda sivijui, utanisaidia kujaza kwenye comment 👇
POMBE UKINYWA KUPITA KIASI
👉 Husababisha ajali
👉 Matusi
👉 Kudhalilika [ kujinyea, kujikojolea, kutapika, kuropoka]
👉 Kulawitiwa ama kuibiwa...