Habari
Mm ni kijana wa kiume natafuta kazi
Umri miaka 24
[emoji117] Kuuza duka [ uzoefu miaka 2 ]
[emoji117] Kutengeneza mikate , donati, skonzi
[emoji117] Wakala wa kutuma na kutoa pesa
[emoji117] Kutengeneza chips
[emoji117] Kusambaza vinywaji mikoani mfano Maji,bia,soda na hata gas
Kama...
Sina uhakika ila Kama Ni kweli [emoji116]
Inawezekana hata BHARESA mwenyewe halijui hili sema hapa katikati Kuna wapambe wanaoangalia izo cv zenu ndio wanafanya maamuz hayo Amin ivo sure
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.