Anafikiri siku Moja atakuwa rais wa nchi hii.
Ila kwa sababu ccm ni wajinga wanaweza tuletea kichaa kuongoza.
Mungu atatunusuru kama alivyotunusuru 2021
Hakuna siri yoyote ila wizi tu ambao mwisho wa siku inaitwa siri.
Hivi watanzania lini ujinga utatutoka?
Kwa nini mikataba iwe siri kama inatuhusu? Tumefanywa wajinga sana
Jamani mwacheni kajifia mhuni yule. Hii ya kutisha watu haitaondoa ukweli kuhusu mapungufu makubwa ya huyo jamaa yenu.
Kama watu watakataa kunichagua kwa sababu ya mhuni huyo waache. Shauri yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.