Habar ya leo wakuu,
Poleni na majukumu ya kujenga taifa.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada,je ni sahihi kama unafanya maombi ya kusoma stashada ya ualimu (special diproma) kwa masomo ya biology na chemistry katika vyuo vya serikali mfano, Kreluu TC, Tabora TC, Morogoro TC, n.k ambavyo...