Recent content by Ka-nabyule

  1. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania Wana JF, hivi huyu Mzee Datsun Tido Mhando anjitambua?

    Halafu mtoa mada, Datsun ni jina la gari, huyu bwana anaitwa Dunstan!
  2. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania Gazeti la Amani na habari hizi za mzee wa upako zina ukweli

    Ni kweli. Alisimulia mwenyewe na ni siku nyingi tu. Kipindi chake kilirudiwa kurushwa na Channel 10 saa 3.30 jana ucku. Kama huelewi bora kunyamaza kuliko kkurupuka!
  3. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania Tumnunulie Magufuli Rais wetu mpendwa ndege mpya-kubwa

    Wewe unataka kuanzisha balaa jingine la makato yasiyo kwenye bajeti zetu!
  4. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania Masista (nun) wa Catholic wanavyofanya Kilimo Na Biashara ya Bangi

    Mayenga, ni makali yepi hayo wanayopynguza!?
  5. Ka-nabyule

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba mnifahamishe application za kudownload music!

    Subiri nami nipatiepo!
  6. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kisandu ni kweli kajiengua Kanisa Katoliki

    Nadhani hii ya Kisandu ni mental case! Msaidieni mlio karibu naye!
  7. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania Mjue Mtoboaji macho, Salum Njwete (Scorpion) na watu wake

    Kwa vyo vyote huyu scorpion atakuwa na genge la ujambazi.
  8. Ka-nabyule

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba na Yanga, kwanini sio Yanga na Simba?

    Wewe mtoa mada umesoma wapi na kuishia darasa la ngapi?! Wacha kuleta ushabiki
  9. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania Dunia ilipo ni hapa

    Ipi itakayofika mwanzo?
  10. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania Star Tv imepotea hewani?

    Boss wao alikumbwa na kadhia ya kikwepa kodi
  11. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania UVCCM Taifa yataka Mwenyekiti wake Arusha avuliwe Uongozi

    Niwashauri cm na uvccm Kuwa hili la Arusha la kuwatosa watendaji wenu msilishabikie na kuwafanya mjae mapovu kuweni makini sana. Taarifa ya uvccm ni ghiliba na endapo vijana waliotoswa hawatazibwa midomo mengi yataibuliwa na kuivua nguo jumuiya na viongozi wengi wa chama tawala. Huko nyuma...
  12. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania Barua ya Vitali Maembe kwa Rais Magufuli

    Pole sana Bro. Mimi pia yalinikuta yayo hayo nikipingana na ubadhirifu ktk H/Mashauri moja mwaka 2009. Kama ulivyosema Vitalis, jalada langu limekaa Ikulu ile tangu wakati ule hadi hivi karibuni na bado naendelea kusota. Ngoja tuone kama utasaidiwa kulindwa na kupata haki yako!? Sijui!
  13. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania Prof. Lipumba: Mbowe, Seif walikuwa wanawasiliana peke yao kuhakikisha Lowassa anakuwa mgombea UKAWA

    Hah, hah, haah! Profesa bwana! Ujio wa Lowasa ulimfanya aikimbie kambi ya UKAWA. UKAWA bado ni ile ile, na Lowasa akiwemo ndani, kilichombadilisha ni nini? Lowasa bado yupo! Basi japo angetumia busara za kawaida tu, wakati ulipoitishwa uchaguzi wa M/Kiti wa kuchukua fomu na kuomba kama...
  14. Ka-nabyule

    JamiiForums Tanzania Hali mbaya Mwanza, maduka yafungwa kwa ukata

    Haja edit, yuko sahihi tangu mwanzo.
Back
Top Bottom