Recent content by K-wire

  1. K-wire

    Nipo Rwanda, hao Wanawake mnaowasifia kwa uzuri mbona siwaoni?

    Hapana sio kweli Rwanda hakuna mabinti wazuri kama bongo Kinachofanyika ni kuvutia watu tu. Most of beautiful girl wako kwenye mahotel Tena sehemu za reception tu
  2. K-wire

    Msaada wakuu kuhusu demu, ana matatizo

    For sure nikuhakikishie litakuua kabisa don't play with them kabisa hayo madudu kwenye mbususu yanazomiliki huwa yako very serious kabisa, nakuhakikishia kabisa LITAKUUA huwa haya tanii kabisa tena shukuru MUNGU linakuonea huruma tu. Ushauri wangu tafuta namna ya kumsaidia huyo Binti or...
  3. K-wire

    Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

    Mwambie dogo amshukuru sana MUNGU Ninahuakika kabisa what was coming baada ya kumuoa huyo mwanamke was horrible very horrible kabisa maana ambacho angemfanyia angejuta for the lest of his life. Mke yupo tu and she Is out there waiting for him awe na subra apige moyo konde it will take time but...
  4. K-wire

    Sijui nikamle au nimuache

    Duu pole sana mkuu pole sana
  5. K-wire

    Sijui nikamle au nimuache

    Majonzi tena mkuu what happened???
  6. K-wire

    Jamaa anamuoa mchumba wa rafiki yake kama mke wa pili

    Brother mwambie dongo alie kadri awezavyo let him cry Sana tu, lakin hakikisheni abaki alone maana akiwa peke yake anaweza kufanya chochote. Please jaribu kuwa unamuuliza kuwa anampango gani kwa hilo liliotokea hakikisha anakushilikisha alafu jaribu kumuexpose kwenye sehemu zenye watu wengi...
  7. K-wire

    Nimfanye nini huyu mwanamke?

    Nakushauri kama hujazaa nae piga chini . Utakuja kunishukuri in future. Ila ukishamuoa majuto ni mjukuu
  8. K-wire

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Anatoaga jicho la iphone huyo kaa nae mbali
  9. K-wire

    Wanaume walio-oa wanaingia gharama kubwa kupata wapenzi wapya

    Umetumia data zipi kufikia conclusion ya ulichosema??? Kama hufahamu walio oa ni rahisi sana kupata wapenzi kuliko walio single take it or leave it
  10. K-wire

    Tucheze kamchezo. Mtumie ex wako mseji mwambie naomba turudiane halafu 'screanshot'

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Back
Top Bottom