Hapana sio kweli Rwanda hakuna mabinti wazuri kama bongo
Kinachofanyika ni kuvutia watu tu. Most of beautiful girl wako kwenye mahotel Tena sehemu za reception tu
For sure nikuhakikishie litakuua kabisa don't play with them kabisa hayo madudu kwenye mbususu yanazomiliki huwa yako very serious kabisa, nakuhakikishia kabisa LITAKUUA huwa haya tanii kabisa tena shukuru MUNGU linakuonea huruma tu.
Ushauri wangu tafuta namna ya kumsaidia huyo Binti or...
Mwambie dogo amshukuru sana MUNGU Ninahuakika kabisa what was coming baada ya kumuoa huyo mwanamke was horrible very horrible kabisa maana ambacho angemfanyia angejuta for the lest of his life. Mke yupo tu and she Is out there waiting for him awe na subra apige moyo konde it will take time but...
Brother mwambie dongo alie kadri awezavyo let him cry Sana tu, lakin hakikisheni abaki alone maana akiwa peke yake anaweza kufanya chochote. Please jaribu kuwa unamuuliza kuwa anampango gani kwa hilo liliotokea hakikisha anakushilikisha alafu jaribu kumuexpose kwenye sehemu zenye watu wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.