Sijui ni kwanini watu huwa wanaanza kusema...Ohooo sijui sina hisia na wewe mara nini...sasa ukikutana na mwingine tena naye utaanza kusema huna hisia..sema watu hawapendi kujifunza uvumilivu..wanaanza kusingizia hisia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.