Hivi tume ya uchaguzi sio CCM kweli maana asije akashinda mgombea kutoka CDM halaf wakamuweka mgombea kutoka CCM .Mmmmh aya ngoja tusubil maana tafsiri ya neno mapinduzi lina maana kubwa mno ila watu hawajajua.Mungu ibariki afrika Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
Dah inauma saaana pole sana mlo fikwa na msiba innalillah wainnalilah rajuun ,Kuhusu moro-mbeya barabara ni mbaya mno lakn serikali bado haikujifunza kwa majinja na magali mengine yakikosana kugonga coz of barabara sasa serikali inasubiri watu wazidi kutoweka au ndo inasubili mpaka kiongozi naye...
Mimi mwenye nataka kufungua hiyo stationary ili uone kma inakuletea manufaa yani faida faida without loss kma unafanya mwenyewe bila kuajiri ni njia gani unaweza fanya na ukaiona faida .
Hicho kiwanja ndo hicho kinacho itwa (KIBIRICO) ambacho kipo opposite no (KABIMITA) karibu na Pugu mnadani upande wa kushoto au sio hicho? naomba kujua Pugu mwakanga ni ipi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.