Habari zenu wakuu kwa anaye ifahamu Njombe high school yaani;
Kitaaluma ikoje
Mazingira ni rafiki kwa wanafunzi kujisomea?
Ina toa na kufundisha tahasusi(combination) zipi?
Ina walimu bora? na mengineo
Tujuzane ....
Ukitupia picha itapendeza zaidi za hiyo shule
NATANGULIZA SHUKRANI
Simba itashinda tu kama kawaida wazee was 4G
Huku bocco
Okwi
Azam hachomoki .........[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.