Kwa hili la corona nakubaliana na wewe.
Sisi tuchague watusaidie vipi ila si wao kutushinikiza aina ya msada.
Kuweni makini sana huko nyumbani bado ni bikira.Msiwaamini sana hawa watu.
BAK my friend,mark this post untill 2022!It has just started,the serpent is falling down.Mungu ni hakimu.
Joka sio mtu mmoja,ni mfumo,wenye agenda ovu.
Mungu yupo East Africa,hatokubali ujinga huu na ameanza kuonyesha makucha yake nyumbani kwetu wenyewe.
Nasikia wako arobaini sijui,mimi nawaambia tu wakae wakijua nchi yetu deep state ni waomba Mungu tu,na kudhihirisha mamlaka yake kupitia watu wake,nawaambieni kuanzia sasa mpaka 2022 yatatokea mengi sana na hao ds hawatakuwa na la kufanya,na huo mwaka wa 2022 Mungu atadhihirisha wokovu wake kwa...
Nimekuwa kimya tangu serikali hii iingie madarakani sababu nilishajua nchi inaelekea wapi.
Hii ndio post yangu ya kwanza tangu 2015 October.
Mwelekeo wa nchi si mzuri hata kidogo.
Wengine tulishajua anachaguliwa kiongozi wa aina gani tukaogopa na kutikisika kabisa.
Sasa nimueleze jambo mzee...
Ukiona watu wanatumia nguvu kubwa kuilinda amani,ujue watu hao ni wavunjaji wa haki.
PENYE HAKI HAPAZUNGUMZWI NENO AMANI,MAANA WATU HAWANA MUDA KUHANGAIKA KUTUNZA KITU AMBACHO KINA GUARANTEE YA KUENDELEA KUWEPO CHENYEWE.
NI UCHIZI KUZUNGUMZIA AMANI PASIPO NA HAKI,SAWA TU NA KUZUNGUMZIA MWANA...
Iliwahi kutoa tahadhari.upo uzi kule jukwaa la uchaguzi.
Shida yetu ni kufuata sheria.Je,hii helicopter ilipewa kile cheti?masharti ya utoaji cheti yalizingatiwa?mbona tunaambiwa ilikuwa "spana mkononi"?ilipataje cheti?na huko Kenya ilipata cheti?basi haya.
Kwa hiyo hii helicopter ya Filikunjombe ilipewa Certificate of airworthiness?masharti ya kutoa cheti yalizingatiwa ikiwa pamoja na proof ya matengenezo ya karibuni?huko Kenya ilipotoka ilipewa cheti?
Na pia makubaliano yao yalikuwaje?nani alikuwa anahusika na maintenance wakati wa mkataba,aliyekodi au owner?je,Kalonzo aliruhusu fundi yeyote kugusa chombo chake au kuna mipaka aliweka?tukishajua hilo tufuatilie ilifanyiwa maintenance gani mara ya mwisho na kwa tatizo lipi and who was...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.