Recent content by Justinlyimo

  1. J

    January Makamba acha mchezo huu mara moja

    Kweli kuwa na degree au hata Masters wakati mwingine hakumsaidii mtu katika kufikiria na kufanya maamuzi ya nini cha kuandika na wakati mwingine hata upeo wa uelewa wa mambo unakuwa mdogo sana no matter unalevel gani ya elimu.Sasa mahusiano yako wewe na January yanatuhusu nini sisi?kwani...
  2. J

    Edward Lowassa special thread

    mmmmmmmmmmmmmh
  3. J

    Udhamini wa Lowassa unatia shaka

    Achaaaaaaa kabisa kumtumia Allah katika mambo kama haya,jamaa tunamjua toka kitambo kuwa ni fisadi na Allah hafungamani na mafisadi
  4. J

    Wema Sepetu atangaza nia

    Nachokiwaza na sur ya upole na moyo w huruma alionao Wema wakimpiga dongo bungeni hatamwaga chozi kweli?
  5. J

    Mbowe ameshakosa sifa ya ubunge mahakamani!

    Kulipa faini ni sehemu ya kutumikia kifungo,ebu fikiria endapo angeshindwa kuilipa hiyo faini si angeishia magereza?
  6. J

    Rais Kikwete: Kuna mgombea nimemtakia 'kila la heri' kwenye SMS

    Halafu inaonekana hajakomaa kisiasa kabisa
  7. J

    Kamati Kuu CCM na Tano Bora Urais: Wanne Wanajulikana, Mgombea Wa Tano Bado Kitendawili

    Kwa mtazamo wangu nafikiri namba tano litakuwa jina la kijana.Hii itakuwa mahususi kwa ajili ya kutambua mchango wa vijana katika Chama cha Mapinduzi na Taifa kwa ujumla lakini Kijana huyo ni lazima awe na mtazamo chanya katika kukiimarisha chama pamoja na kuvunja nguvu ya upinzani katika...
  8. J

    Kamati Kuu CCM na Tano Bora Urais: Wanne Wanajulikana, Mgombea Wa Tano Bado Kitendawili

    Tukiangalia umri,maono ya mbali na uwepo wa fikra chanya katika maendeleo ya nchi yetu nafikiri Mh.January makamba ataweza kuwepo ndani ya hiyo tano bora
Back
Top Bottom