Recent content by JustineKitenge2016

  1. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

    Huu uzi umekuwa msaada sana kwangu na umeniongoza sana, mwezi huu wa pili nimefungua kibiashara changu 🙏
  2. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Wadau wa burudani na uandaaji wa matamasha ya burudani

    Habari za sasa hivi wanajamvi poleni na majukumu ,mimi ni kijana wa kitanzania mwenye ndoto ya mafanikio na wanasema mafanikio hutokana na jinsi ambavyo tutamia fursa ,mimi kwa upande wangu ni mwanafunzi wa shahada ya uchumi, ninatamani kuingia kwenye maswala ya burudani na kuandaa tamasha...
  3. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

    Wewe kama nani ndugu yangu hata mimi nimejipanga kwa vyovyote
  4. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

    Toa CV dada yangu nyie ndo munafanya mambo yasiende unaeza pata mchumba hata wa kiha ukaanza kuleta hizi mambo
  5. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Maoni ya wazi juu ya mfumo wa utoaji mikopo 2016/17

    Hili la kusema alihaidi ndo sikubaliani nalo kwani mara ngapi tumehaidiwa afu business as usual? #CCM NI ILE ILE NDUGU ZANGU
  6. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

    Safi sana kaka watu wanawaforce watoto wasome sayansi wakati maabara hakuna, mitaara mibovu,HII NDO TANZANIA
  7. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

    Je amesoma sayansi ndo swari langu niasidie kaka please..
  8. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

    Mhhh so kweli kabisa nakataa roho mbaya ni makuzi mtu anayokua nayo
  9. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

    Siko tayari kukujibu vibaya laiti ungenielewa maana yangu wala usingejibu kwa kukurupuka kaka, Nimehoji hivi nina maana kubwa ni kwamba sa hivi watu wananyimwa mikopo eti kisa mtu amesoma sayansi je wao wamesoma hayo masomo ndo maana yangu sijamzarau mheshimiwa nina muheshimu sana tena sana mimi...
  10. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

    Mkopo sijapata nimehoji tu so ubaya kaka
  11. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Wasifu/CV ya Profesa Joyce Ndalichako

    Habari wanaJF, Naomba kujua wasifu wa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Prof. Joyce Lazaro Ndalichako.
  12. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Maana ya kutokata tamaa

    pamoja kk
  13. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Maana ya kutokata tamaa

    asante sana kk mwendo ule ule
  14. JustineKitenge2016

    JamiiForums Tanzania Maana ya kutokata tamaa

    Mwanzoni nilipofeli kidato cha nne mwaka wa majanga 2012 nilihisi ndo mwisho wa kuiona degree kutokana na maneno ya kukatishana tamaa kutoka kwa baadhi ya ndugu na ukilinganisha wanafunzi wengi marafiki zangu walifauru kuendelea na masomo ya kidato cha tano, lakini namshukuru mungu sikukata...
Back
Top Bottom