Itapebdeza Kigoma ilipwaya uhuru wake wa kuitawala au kujiunganaidha na Congo au Burundi. Kwakua Kigoma imekua kero no vema ikatengwa na Watanzania wa Grade one.
Kigoma haikuwa sehem ya Tanganyika ya Mjerumani, kwahiyo ni kazi rahisi tu.
Mwanamke na mambo ya Mpira wapinawapi? Tafadhani Maza Fanya Yako tuachie Mpira wetu. Wanaume wametawala hii nchi miaka 60 lakini hawakugusa Mpira wetu. Baki na Taarabu zako huko. Hatutaki utuharibia Burudani yetu. Utawala wako utapita Lakini Mpira utabaki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.