Huyo rc ameshadharauliwa na kupuuzwa kwahiyo anatafuta psychological relief kwamba anakubalika kumbe sivyo. Anajipendekeza kwa jeshi anadhani ni kama polisi.
Ni kufuata taratibu za kisheria tu sio kujichukulia sheria mkononi. Raia wangeanza kupambana na polisi hata hicho kituo chao cha ffu ukonga wangekikimbia. Polisi ni chombo kinachofanana na mahakama na kazi yake ni kusimamia sheria za nchi, sasa kama polisi ndio wanakuwa wavunja sheria nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.