Recent content by Justice Kwanza

  1. J

    Moses Machali: Askofu Kakobe siyo mchungaji wa kiroho

    Uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo sana! ni huyu Machali au ni mwingine? Nchi yangu Tanzania imevamiwa.
  2. J

    CCM yakataa ombi la Lowassa kurejea chamani

    Humjui Kakobe wewe! Aombe radhi kwa kuhubiri Neno la Mungu? mwenyewe amesema, Afe kabla hajafikia hapo.
  3. J

    TRA mmemkosea Kakobe na kanisa la FGBF, mnapaswa kuomba radhi

    Hujui hata unaongea nini! Jitu zima hovyo. Kakobe hajatubu na hawezi kutubu kwa kuhubiri iliyo kweli ya NENO.
  4. J

    TRA mmemkosea Kakobe na kanisa la FGBF, mnapaswa kuomba radhi

    Tatizo ni kukosa weledi, TRA wamekosea sana sana. watubu.
  5. J

    Hivi ni sawa kwa binti wa kilokole au wa kiislamu kuvaa suruali?

    Askofu Kakobe aliwahi kufundisha kwa undani sana kuhusu Mavazi. msikilize hapa
  6. J

    TRA mmemkosea Kakobe na kanisa la FGBF, mnapaswa kuomba radhi

    ,, hivi karbuni kumekuwepo kutoelewana kati ya serikali na mchungaji KAKOBE, hili lilitomea baada ya mchungaji kakobe kutamka kuwa ana pesa kuliko serikali,jambo hili liliifanya serikali yetu pendwa inayoongizwa na mtukufu sana aliyeshushwa na Mungu na kufikia hatua ya kuanza kumchunguza...
  7. J

    TRA mmemkosea Kakobe na kanisa la FGBF, mnapaswa kuomba radhi

    TRA kwa kutangaza hadharani kwa watu wasiohusika (unauthorised person) taarifa za mapato (kiwango cha fedha zilizopo) kwenye account ya kanisa (Full Gospel Bible Fellowship) kwenye taarifa yenu ya uchunguzi, siyo tu mmevunja sheria za kodi (kama nilivyoonyesha kwenye baadhi ya vifungu hapa...
  8. J

    CHADEMA, msiwe kama kenge hadi damu itoke masikioni

    Tume huru ina umuhimu zaidi kuliko katiba mpya kwa sasa.
  9. J

    TRA: Askofu Kakobe hana fedha wala akaunti binafsi ila Kanisa lina akaunti yenye Sh. Bilioni 8.1; amemwomba Rais radhi

    Usiongee usichokijua; Safari za nje za Askofu Kakobe, kanisa ndiyo linalipia.
  10. J

    TRA mnataka kodi na kwenye sadaka?

    TRA wamemaliza kimya kimya, na wamepotea kimya kimya! Asante sana Mtumishi wa Mungu Kakobe.
  11. J

    Mzee wa upako: Kakobe kumkosoa rais na kumtaka kutubu alikosea

    Alizibwa mdomo kwa kujengewa barabara pale kwake, ndivyo wanasiasa wanavyofanya, wanakupa vimisaada ili kukuzima, kukufanya usiweze kukosoa, Ndiyo Kakobe anakataa pesa ya mwanasiasa, Kanisa lake Kakobe (FGBF) , halitegemei hata senti tano ya mzungu yoyote au mwanasiasa yoyote. Ndiyo maana...
  12. J

    TRA mnataka kodi na kwenye sadaka?

    Shetani naye anatumia maandiko, Mfano Mathayo 4: 5 Kisha Ibilisi akamchukua mpaka mji mtakatifu, akamweka juu ya kinara cha hekalu, 6 akamwambia, Ukiwa ndiwe Mwana wa Mungu jitupe chini; kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake; Na mikononi mwao watakuchukua; Usije ukajikwaa mguu wako...
  13. J

    TRA mnataka kodi na kwenye sadaka?

    Kakobe ni mtumishi wa Mungu, hafanani na wewe mlevi na mwasherati. ameokolewa, amesafishwa. ndiyo anakuhubiri hata wewe uache dhambi. Sitakujibu tena, nisije nikafanana na wewe! labda kama utakuja kwa adabu. Mithali 26:4 Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye...
  14. J

    TRA mnataka kodi na kwenye sadaka?

    Zaburi 14:1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo, Hakuna atendaye mema. Zaburi 53:1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema. Biblia imesema pia kuhusu mpumbavu/upumbavu. Ni upumbavu...
Back
Top Bottom